mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,119
- 1,508
Umekaa nayo muda gani?Nna XC60 T5 ya 2012, nikitaka gari nyingine, ntanunua tena Volvo!
Na je ni vipi fuel consumption yake (numbers au hata kama unaweza kufanya comparison na gari nyingine?)
Umekaa nayo muda gani?Nna XC60 T5 ya 2012, nikitaka gari nyingine, ntanunua tena Volvo!
Umekaa nayo muda gani?
Na je ni vipi fuel consumption yake (numbers au hata kama unaweza kufanya comparison na gari nyingine?)
Nna mtu wangu wa karibu ana volvo kama hio ya kwenye picha kila kukicha ni mbovu tu wakati haina hata miaka 2Mkuu hapa bongo mafundi Volvo ni magumashi sana hiyo gari utakuja kuichukia.Mafundi Volvo wengi wako Zambia na Kongo ndo maana wao hizo gari hawaziogopi.
Kuna uwezekano alinunua gari mbovu au poor maintananceNna mtu wangu wa karibu ana volvo kama hio ya kwenye picha kila kukicha ni mbovu tu wakati haina hata miaka 2
Ubovu wake ni wa namna gani hebu kuwa specific?Nna mtu wangu wa karibu ana volvo kama hio ya kwenye picha kila kukicha ni mbovu tu wakati haina hata miaka 2