Babu wa Watu
Member
- Oct 31, 2021
- 40
- 101
Kama kichwa Cha habari tajwa....
Sifa nlizonazo
a)Dereve wa Gari zote( kubwa na Ndogo) kama mabosi wa
Magari mpo humu nawakaribisha
b)kama wewe ni Dereve unahitaji conductor pia nipo tayari
C)kama wewe ni Dereva wa gari kubwa unahitaji tingo pia hizi kazi nazimudu vizuri tu
d)Mafundi Magari pia nipo hapa fundi waire japo sio expert sana ila niliwahi pitia huko kwaiyo kama unahitaji kijana wa kukusaidia pia nipo hapa hata watu wa Machanics pia...
e) Pia nipeni location za site zenye vibarua /Saidia fundi pia nipo tayari
f)Pia nahitaji kazi yoyote pia nje na hizo Ili kujipatia kipato i.e zisiwe nzito sana maana mimi Sina tank (Nipo Slim kiumbile)
NB: Daladala ,Uber, Bolt nanyi mnakaribishwa
Mawasiliano yangu ni
0763648843/0710194863
Location Dar es salaam ila popote mi natia timu
Naomba kuwasilisha...
Sifa nlizonazo
a)Dereve wa Gari zote( kubwa na Ndogo) kama mabosi wa
Magari mpo humu nawakaribisha
b)kama wewe ni Dereve unahitaji conductor pia nipo tayari
C)kama wewe ni Dereva wa gari kubwa unahitaji tingo pia hizi kazi nazimudu vizuri tu
d)Mafundi Magari pia nipo hapa fundi waire japo sio expert sana ila niliwahi pitia huko kwaiyo kama unahitaji kijana wa kukusaidia pia nipo hapa hata watu wa Machanics pia...
e) Pia nipeni location za site zenye vibarua /Saidia fundi pia nipo tayari
f)Pia nahitaji kazi yoyote pia nje na hizo Ili kujipatia kipato i.e zisiwe nzito sana maana mimi Sina tank (Nipo Slim kiumbile)
NB: Daladala ,Uber, Bolt nanyi mnakaribishwa
Mawasiliano yangu ni
0763648843/0710194863
Location Dar es salaam ila popote mi natia timu
Naomba kuwasilisha...