Pambana sana kijana jitangaze hivi uaminifu ni silaha.Asante mkuu,hapa tu tokea jana usiku,nimeshapata watu wanne,ambao natakiwa niendelee nao leo,naanza na mmoja ambaye kaniagiza pale Medical Council of Tanganyika(MCT),ambayo iko Kambarage Tower,nasubiria stationery zifunguliwe,nikaprint document yake,nimfikishie pale.
Asante sana,nazidi kujitahidi,ndugu yangu.Pambana sana kijana jitangaze hivi uaminifu ni silaha.
Kabisa mkuu,na muitikio nimeona ni mkubwa sana.Idea nzuri sana ,
Ndiyo mkuu,nitaenda,ila siyo kwa leo,maana namalizana na hawa wengine,inshu yako itabidi iwe kuanzia jumatatu,karibu inbox.We jamaa,njoo pm unisaidie jambo hapo MTUMBA,utaweza kwenda?njoo pm
Nashukuru sana kwa ushauri,nitalifanyia kazi ndugu yangu.Ofisi ntaifungua siku zijazo kadri huduma inavyokua,siyo siku nyingi.AsanteKama una ujanja na manunuzi pia ungetaja maana kuna vitu vizuri vinauzwa lakini tunapoteza imani kuwatumia pesa bila hata bidhaa kukaguliwa.
Fikiria kufungua ofisi kwaajili ya hilo
Ushatumiwa maelekezo,nenda PM,natarajia kesho uanze na jukumu nililokupatia.Maelekezo mengine ntakupa kwa simu ukifika mji wa serikali,Mtumba.Ndiyo mkuu,nitaenda,ila siyo kwa leo,maana namalizana na hawa wengine,inshu yako itabidi iwe kuanzia jumatatu,karibu inbox.
Nimeshaona,aya sawa,haizidi saa mbili ntakua pale ofisini.Uwe hewani kwaajili ya kukupa updates.Ushatumiwa maelekezo,nenda PM,natarajia kesho uanze na jukumu nililokupatia.Maelekezo mengine ntakupa kwa simu ukifika mji wa serikali,Mtumba.
Ahsante kwa taarifa...
Poa,ni pale BSS karibu na Kimbinyiko,anyway kwa info zaidi ntapita pale kesho,namba yangu nimekutumia,nipigie kwenye muda wa saa nne asubuhi au ukiwa na muda,ntakua nimepitia pale na kuchukua info zote za bei na kila kitu.Fanya kunitaftia chimbo la Dodoma wine huko
Sijaona number yakoPoa,ni pale BSS karibu na Kimbinyiko,anyway kwa info zaidi ntapita pale kesho,namba yangu nimekutumia,nipigie kwenye muda wa saa nne asubuhi au ukiwa na muda,ntakua nimepitia pale na kuchukua info zote za bei na kila kitu.
Nimekutumia PM,ok! 0765920855Sijaona number yako
Utaratibu siufahamu kwakweli,ila unaweza kunipigia jumatatu,ili niweze kufika pale UTUMISHI nikupe majibu ya uhakika.Asante.Naomba kujua utaratibu wa kupata kibari cha kubadilisha kitambulisho cha NIDA kutoka kwa katibu mkuu utumishi wa umaa
nice one. All the bestMimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wafanyakazi hasahasa wa Serikali pia na wa sekta binafsi kwa uchache, kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma).
Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.
Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama Wizara ya Mambo ya Ndani, kupeleka barua ya kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao(loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini n.k
Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.
Asanteni.
Mawasiliano:0765920855