Nape: Free WiFi kwenye mwendokasi na masoko ya wamachinga nchi nzima

Nyakijooga

Senior Member
Dec 9, 2018
138
229
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
 
“Tutaweka Free WiFi kwenye mabasi ya mwendokasi kwa sababu tunataka watu watumie huduma hiyo, lakini pia nchi nzima kwenye masoko yaliyojengwa ya wamachinga itapelekwa Free WiFi”

Ameyasema Wazi wa Habari, Mwasilino na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati wa uzinduzi wa teknolojia ya 5G kwa Mtandao wa Airtel (Agosti 10, 2023)
Ukitaka kula lazima uliwe
J. K. Kikwete
 
Mwenye tatizo au lalamiko lolote na hiyo habari apige: Phone : +255692070581
 
Back
Top Bottom