NAOMBENI USHAURI: Subaru Forester (turbo) Vs Nissan Xtrail

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,554
Wakuu,amani iwe nanyi.

Naombeni ushauri,kuna kasenti nimekanyaka mahali nataka kununua gari lakini sina uzoefu wa hizi gari mbili; Subaru Forester turbo 2004 Vs Nissan Xtrail. Kipindi hiki gari ni muhimu,siyo anasa. Nataka kununua moja wapo kati ya hizi. Mm no mtu wa kwenda field (rough roads) sana. Ipi n gari nzuri interms of;

1. Fuel Consumption

2. Uimara (durability)

3. Comfortability barabarani at high speed. Maana mm mtu wa mwendo kasi

4. Gharama za spare parts na upatikanaji. Na mafundi

5. Speed

6. Heshima mtaani..maana mimi ni wa kaskazini.



Asanteni jamani.
images-1.jpeg
images.jpeg
 
Fuel consuption bora Xtrail kuliko subaru

Uimara na confortability ndani ya gari Xtrail. Comfort barabarani both zipo stable sana hata ukiwa high speed.

Kwa mwendokasi subaru

Spair Xtrail ni relatively cheap na zinapaatikana kila mahali ukilinganisha na subaru ni maduka maalumu.

Stattus both zinakubalika lakini xtrail ni zaidii.

Nimetumia zote ingawa Xtrail nimetumia zaidi hivyo nakushauri uende kwa Nissan Xtrail.
 
Wakuu,amani iwe nanyi.

Naombeni ushauri,kuna kasenti nimekanyaka mahali nataka kununua gari lakini sina uzoefu wa hizi gari mbili; Subaru Forester turbo 2004 Vs Nissan Xtrail. Kipindi hiki gari ni muhimu,siyo anasa. Nataka kununua moja wapo kati ya hizi. Mm no mtu wa kwenda field (rough roads) sana. Ipi n gari nzuri interms of;

1. Fuel Consumption

2. Uimara (durability)

3. Comfortability barabarani at high speed. Maana mm mtu wa mwendo kasi

4. Gharama za spare parts na upatikanaji. Na mafundi

5. Speed

6. Heshima mtaani..maana mimi ni wa kaskazini.



Asanteni jamani.View attachment 560012View attachment 560013
Hizo zote piga chini, chukua Audi A4 3.0 quattro , ukiipata ya diesel poa sana.
Speed ni 260 to 280 inategemea na mwaka iliyotengenezwa.
Spare zake ni kama unavyohudumia Subaru na Xtrail.
Germany Technology, hutajutia mkuu.

Onyo, kuwa makini kwenye road humps.

Kuhusu heshima wala usiulize, ni CLASSIC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom