Wakuu heshima kwenu.
Natumai nyote mmekua na week end nzuri kama yangu.
Wakuu nahitaji gata zile za plastick.Nimeambiwa ziko gata kutoka South Afrika,Uturuki,Malaysia,China na Tanzania.
Nimeambiwa nzuri ni za South lakini siku hizi haziletwi tena,nikashauriwa nichukue za China au za Malaysia sababu eti zina afadhali kuliko za Tanzania.
Nimeambiwa niwe makini sababu naweza kuuziwa za China nikaambiwa ni za Uturuki.
Ombi langu hapa,ni naombeni mniambie duka ninapoweza kwenda kupata gata nzuri bila kubabaishwa au kuuziwa kitu ambacho sicho.
Natanguliza shukrani zangu.
Natumai nyote mmekua na week end nzuri kama yangu.
Wakuu nahitaji gata zile za plastick.Nimeambiwa ziko gata kutoka South Afrika,Uturuki,Malaysia,China na Tanzania.
Nimeambiwa nzuri ni za South lakini siku hizi haziletwi tena,nikashauriwa nichukue za China au za Malaysia sababu eti zina afadhali kuliko za Tanzania.
Nimeambiwa niwe makini sababu naweza kuuziwa za China nikaambiwa ni za Uturuki.
Ombi langu hapa,ni naombeni mniambie duka ninapoweza kwenda kupata gata nzuri bila kubabaishwa au kuuziwa kitu ambacho sicho.
Natanguliza shukrani zangu.