Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,618
- 3,084
Habarini Kwema !!!, na gari yangu aina ya Toyota Brevis nilinunua kwa mtu hii gari shida yake kubwa nikiwa naiendesha inazima tu gafra yani cjajua shida nn mana nilinunua mwezi wa 6 mwaka huu ilikuwa vzr tu.
Nilisafiri nayo kutoka Njombe kwenda Kyela kutoka kyela kwenda Dodoma nikatoka Dodoma nikaja nayo Dar ilikuwa poa tuu ila now nipo Dar kimara Suka ndo imeanza niletea manjegeka haya msaada....Nahitaji fundi mzuri wa kuweza kuni fixia hi gari yangu...
Nilisafiri nayo kutoka Njombe kwenda Kyela kutoka kyela kwenda Dodoma nikatoka Dodoma nikaja nayo Dar ilikuwa poa tuu ila now nipo Dar kimara Suka ndo imeanza niletea manjegeka haya msaada....Nahitaji fundi mzuri wa kuweza kuni fixia hi gari yangu...