ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,600
- 51,443
View: https://www.instagram.com/p/C5ptXhRIn7B/?igsh=MW80Ynk5cXV3ZDEwcA==
Mwaka huu imepita miaka 40 tangu kifo Cha Hayati Edward M.Sokoine ambae aliwahi kuwa Waziri Mkuu enzi za Mwalimu na kufariki Kwa ajali ya gari 1984.
Hoja yangu ni kwamba,Je hii kumbukizi Huwa inafanyika Kila mwaka au? Mbona kama mwaka huu imekuwa big issue na big ajenda?
Naona Kongamano lenyewe mgeni Rasmi ni Rais huku Viongozi wote wa Kitaifa wakielekea Arusha.
Mbona sioni Makongamano Kwa Hayati Dr. Omar Ally Juma? What is so special Kwa huyo mjamaa Sokoine?
View: https://www.instagram.com/p/C5paYvCtQuS/?igsh=MW9sZTBzcDN3MThxNw==
My Take
Kumezuka mtindo hapa Tanzania mtu akifia Madarakani inageuka kuwa Sherehe ya Kiserikali.
View: https://www.instagram.com/p/C5plzDSt2qP/?igsh=aXJwMmt4Nnp0NXll