Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Bado ni cardinal? Nini kimepelekea kichagua cardinary mwingine wakati huyu yupo, Africa kuna nchi gani nyingine yenye cardinal zaidi ya mmoja?

Huyu naye!
Tanzania kuna makardinali wawili.
Ni hivi:

Italy is the country with the most cardinals at 28. The United States has the second highest number of cardinals with 11. Spain, Germany, India, and Brazil follow with five cardinals each. Rounding out the top ten are France and Poland with four each.

Looking at the distribution of cardinals by continent, shows that Europe far exceeds any other geographic area with 59 out of the total 115 voting eligible cardinals.

1689020272474.png


Source: Map of Cardinals.
 
Hajazaliwa Karagwe.
Yaani ni tusi kubwa sana kumfananisha Muhaya na Wanyambo. Jiheshimu huyo kazaliwa Bunena, Bukoba mjini Kagera.

Wewe unaonekana hauna akili una mtindio wa ubongo. Kuna tofauti gani ya Muhaya na Munyambo? Na ulivyo mjinga umfahamu huyu Rugambwa ni kweli ni Munyambo sio Muhaya punguza ujinga kichwani mwako.
 
Kweli Inahuzunisha na inatoa wito kwa wanauoni kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu maswali yafuatayo;

-- KABILA (TRIBE) NI KITU GANI NA SIO KITU GANI?
-- UKOO (CLAN) NI KITU GANI NA SIO KITU GANI?
-- MBARI (RACE) NI KITU GANI NA SIO KITU GANI?
Ugomvi umeisha sasa na huyu
Hajazaliwa Karagwe.
Yaani ni tusi kubwa sana kumfananisha Muhaya na Wanyambo. Jiheshimu huyo kazaliwa Bunena, Bukoba mjini Kagera.
Inaonesha wewe ni mkurupukaji sasa msikilize mwenyewe

 
Siri ya Jina Rugambwa kwa Askofu Mwanadamizi wa Jimboi Kuu Katoliki la Tabora Kadinali Mteule Protase Rugambwa
 

Attachments

  • Hii ndiyo siri ya jina Rugambwa Jina la Rugambwa s.mp4
    49.9 MB
Iwe leka si bojo.... Kardinali amezaliwa Bunena mwaka 1960 kitongoji Nyaigombe.Pili mwaka 1990 baada ya ziara ya Papa John Paul II kuja Tanzania na kumpa sakrmenti ya upadrisho ndiyo akaletwa Karagwe -Nyaishozi. Pia majina ya Rugambwa,Mutalemwa nk sio majina yetu wanyambo.
 
Kwanini hakupewa yule aliambiwa amefanyiwa operation ya kichwani.

Yaani duuh

Kama vile ipo namna imefanyika hapo kati!
Perhaps, maana walimhamishia mzizima na kumpa uandamizi kumuandaa gafla akaja huyo kutoka ughaibuni na kupewa
Anyway Roma ikisema hakuna mjadala
 
Perhaps, maana walimhamishia mzizima na kumpa uandamizi kumuandaa gafla akaja huyo kutoka ughaibuni na kupewa
Anyway Roma ikisema hakuna mjadala
Unajisiaje mkuu...
Kardinali wa pili huyo kutoka kagera....

Bado Jimbo la Bukoba linahitaji askofu mpya...

Mchakato wa kulifanya jimbo la Bukoba kuwa jimbo kuu unaendelea

ASKOFU NOVATUS RUGAMBWA HUENDA NAYE AKAWA KARDINALI...MAANA SASA NI NUNSIO
 
Unajisiaje mkuu...
Kardinali wa pili huyo kutoka kagera....

Bado Jimbo la Bukoba linahitaji askofu mpya...

Mchakato wa kulifanya jimbo la Bukoba kuwa jimbo kuu unaendelea

ASKOFU NOVATUS RUGAMBWA HUENDA NAYE AKAWA KARDINALI...MAANA SASA NI NUNSIO
Najisikia vizuri,najivunua ukatoliki
Baraza la maaskofu tec 35% pekee ya maaskofu wametoka Kilimanjaro na ndio majority,pia ndio mkoa wenye mapadri wengi kuliko wowote(both WA majimbo na mashirika) pia ni Jimbo la pili kwa parokia nyingi Baada ya Jimbo kuu la dar
NB
Ukadinali haupeanwi bila sábabu,Rugambwa kapewa kwasababu pengo umri umeshamuacha na matatizo ya kiafya.
 
Kardinali Rugambwa kazaliwa bunena hapo bukoba mjini...na shule kasomea hapo bukoba mjini...

Kuhusu kuwa mnyambo sijui mhaya hayo hayana maana hapa...wanyambo ni wahaya kama wahaya wengine...kama unabisha toa tofauti kati ya haya and nyambo
Nimemsikiliza juzi anakiri mwenyewe yéyé ni mnyambo WA karagwe Ila kazaliwa na kukulia bunena kwakuwa baba yake alikuwa mfanyakazi WA afya Hapo
Kwahyo sio MHAYA
 
Zingatia:

1. Dhana ya kabila, ukoo au mbari inabadilika kutoka majira hadi majira. Maana Machifu hakuna leo, teritoria za kikabila hakuna tena, mila na desturi zimeyeyuka. Kilichobaki ni historia

2. Leo ukisema "wanyambo ni watu chini ya chifu X katika eneo Y" au "wahaya ni watu chini ya chifu V katika eneo W" unakuwa unachanganya "tenses".

3. Usahihi ni huu: "wanyambo walikuwa ni watu chini ya chifu X katika eneo Y" au "wahaya walikuwa ni watu chini ya chifu V katika eneo W."

4. Wahaya hawakuwa wanyambo na wanyambo hawakuwa wahaya

5. Kwa sasa tunao raia wa Tanzania. Life made easy!
Place of birth and his origin and identity...hivi vyote ni Bukoba...

Hayo mengi ndo huko karagwe na kwingineko
Instanbul,kadinali mwenyewe kakiri yéyé ni mnyambo Ila alizaliwa bunena kwakuwa baba yake alikuwa mfanyakazi WA afya Hapo
Kadinali rugambwa ni mnyambo
 
Wahaya walikuwa na chifu gani hebu tuanzie hapa kwanza..
Mimi sijawahi ona chief au Omukama wa wahaya as whole...

Ukielewa hapa utatofautisha kati ya wahaya etc na kujua unakosea wap
Rugambwa ni MTU WA karagwe ni mnyambo kakiri mwenyewe
Ni Sawa useme mpare ni mchaga not true
 
Mama Amon, with due respect kubali kwamba kuna misinformations umetoa kwenye thread yako. Mtu mwenye hekima na msomi kama unavyojitanabaisha huwa anakiri kosa na siyo kuonekana “JOAT”. Ingekuwa hekima ungejiridhisha na details zote badala ya kushupaza shingo ili tu uonekane mshindi. Umenishangaza sana!
Kadinali mwenyewe kakiri yéyé ni mnyambo,Ila alizaliwa bunena kwakuwa baba yake alikuwa mfanyakazi WA afya Hapo
Sasa mnabishana NN?
 
Back
Top Bottom