Ni wiki ya tatu sasa tangu nije hapa jukwani kuomba msaada wa namna ya kuunlock simu tajwa hapo juu baada ya kusahau pattern.Nashukuru sana wengi wenu mlijitahidi kunipa alternatives nyingi mnazozifahamu lakini kwa bahati mbaya hazijanisaidia chochite.
1.Kuendelea kudraw wrong pattern mpaka nitakapoletewa option ya forgot password ili nitumie google account yangu iliyomo kwenye simu kusign in,nimefanya sa
na hilo zoezi lakini sijabahatika kuletewa hiyo option.
2.Ya pili ni kuwa nizime simu,kisha nihold volume up + power button then ikija logo ya TECNO niachie power button huku nikiendelea kushikilia volume up button,nimefanya sana zoezi hilo lakini siletewi RECOVERY MODE,ila ninachoambulia ni hiki kitu kama kitank hivi.
2.Pia kwa utaratibu uleule nikajaribu kuhold volume down+power lakini niliambulia tena kupata hiki kitu image ya USB.Je,nifanyeje wakuu?
1.Kuendelea kudraw wrong pattern mpaka nitakapoletewa option ya forgot password ili nitumie google account yangu iliyomo kwenye simu kusign in,nimefanya sa
2.Ya pili ni kuwa nizime simu,kisha nihold volume up + power button then ikija logo ya TECNO niachie power button huku nikiendelea kushikilia volume up button,nimefanya sana zoezi hilo lakini siletewi RECOVERY MODE,ila ninachoambulia ni hiki kitu kama kitank hivi.
2.Pia kwa utaratibu uleule nikajaribu kuhold volume down+power lakini niliambulia tena kupata hiki kitu image ya USB.Je,nifanyeje wakuu?