Nahitaji eneo Kibaha ndani ndani huko, nje ya mji kabisa

MKOA WA PWANI MLANDIZI MSONGOLA
ENEO LINAUZWA
LINA UKUBWA WA HEKA
👉 4

ENEO LIPO UMBALI WA KM 👉 4

ENEO LIPO MSONGOLA SHULE YA MSINGI

ENEO LINAUZWA MIL
👉 6
KWA KILA HEKA MOJA

UMBALI NI KM 4
TOKA MORO ROAD

0762815104

KARIBU MTEJA
 
ENEO LINAUZWA ENEO LIPO MKOA WA PWANI VIGWAZA BARABARA INAYO EREKEA BANDARI KAVU

ENEO LINA UKUBWA WA HEKA 👉 45

KILA HEKA MOJA INAUZWA MIL 👉 3

ENEO LIPO UMBALI WA KM 👉 7
KUTOKA
MORO ROAD
NA MITER 👉 400
KUTOKA
BARABARA
YA ZEGE IYENDAYO
BANDARI KAVU

UMEME MAJI VYOTE
VIPO

HILI ENEO MWENYE
ANAUHITAJI
WA PESA WA HARAKA
SANA ANATAKA KUSAFIRI KWENDA
ULAYA

SHAMBA LIPO KATIKA MCHORO

NI MAENEO YALOTAYALISHWA
KWAAJILI YA VIWANDA MAKAMPUNI MAGODOWNI MAYARD
MAGEREJI

MTEJA ATAKATIWA ENEO KULINGANA NA UHITAJI WAKO UKIWEZA CHUKUWA LOTE
HATI MAUZIANO SELIKALI YA MTAA

KARIBU MTEJA
0762815104
 

Attachments

  • IMG-20221030-WA0117.jpg
    IMG-20221030-WA0117.jpg
    42.2 KB · Views: 8
  • IMG-20221030-WA0118.jpg
    IMG-20221030-WA0118.jpg
    52 KB · Views: 9
  • IMG-20221030-WA0119.jpg
    IMG-20221030-WA0119.jpg
    66.7 KB · Views: 9
  • IMG-20221030-WA0121.jpg
    IMG-20221030-WA0121.jpg
    60.6 KB · Views: 7
Hayo ni baadhi ya maeneo. Unaweza tenga siku twende kutembelea kuyaona na mengine kibaha madafu. Kibaha & Morogoro road ni sehemu huwezi jutia ukinunua ardhi huko. 0762815104
 
Samahani lakini. Haya maeneo karibu na mto ruvu serikali haiwezi ingilia kati? Niliona Mkuu wa mkoa alivyopenda alilalamika sana juu ya shughuli za binadamu. Sasa meter 100 vipi?
Mm nina eneo langu. Ruvu darajani.
Lina mabwawa matatu ya samaki. Mabanda ya nguruwe na kuku. Nyumba ya kuishi. Vyumba viwili.
Maji ya dawasco.
Mtre 100 kutoka mto ruvu. Nimezungusha eneo lote fence.
Karibuni wateja
Mahani
 
MKOA WA PWANI MLANDIZI MSONGOLA
ENEO LINAUZWA
LINA UKUBWA WA HEKA
👉 4

ENEO LIPO UMBALI WA KM 👉 4

ENEO LIPO MSONGOLA SHULE YA MSINGI

ENEO LINAUZWA MIL
👉 6
KWA KILA HEKA MOJA

UMBALI NI KM 4
TOKA MORO ROAD

0762815104

KARIBU MTEJA
Msongola pale pale shule sio ngeta wala matuga?
 
Wakuu kama kichwa cha habari kivyo hapo, nahitaj shamba/eneo , heka moja au mbili kwaajil ya kufuga, iwe ndani huko nje ya mji

Mwenye kuweka pendekeza vijiji labda niende au mwenye kujua mtu anae uza au anae uza tuwasiliane DM au kwenye comment au namba 0753059778
Si useme tu kama unataka eneo mkoani 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom