Newbies
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 1,541
- 2,249
Ipo haha ya kizingatia zaidi watu wenye nguvu kiuchumi kushika nafasi kubwa kubwa kwenye vyama serikali na Taasisi ambao kwa nafasi kubwa tunaweza kupunguza, Rushwa, wizi, na kuongeza mentality ya maendeleo.
Watu Hawa wanaweza kuwa Bora kwenye ufanizi kuliko wale wasio jiweza kiuchumi ambao Mara nyingi hukenga nafasi hiyo kuanza kujitafutia Mali kuliko kufanya kazi
Shine huweza kumfanya MTU kuwa na nidhamu kuliko mwenye njaa. MTU mwenye njaa huweza kufanya kazi kwa woga kuepuka kufukuzwa kwenye nafasi hiyo na hiyo huweza kuathiri utendaji.
Nafasi zote wapewe matajiri watuongoze
Watu Hawa wanaweza kuwa Bora kwenye ufanizi kuliko wale wasio jiweza kiuchumi ambao Mara nyingi hukenga nafasi hiyo kuanza kujitafutia Mali kuliko kufanya kazi
Shine huweza kumfanya MTU kuwa na nidhamu kuliko mwenye njaa. MTU mwenye njaa huweza kufanya kazi kwa woga kuepuka kufukuzwa kwenye nafasi hiyo na hiyo huweza kuathiri utendaji.
Nafasi zote wapewe matajiri watuongoze