USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,898
- 22,683
Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR