Naangamia nahisi kukata tamaa

Nilipata kazi 2020 kweny kampuni X maaruf sana hapa Tz nashukuru Mola mambo yangu yalinyooka saaana vijisent vidg vdg havikuwa vikwazo tena kwangu

Ghafla mwaka jana 2022 mwez wa 12 nikasimamishwa kaz kwa kosa ambalo mpk na leo sielewi bado nikatapeliwa milion 1.4 na kampuni yangu huku mikosi inaniandama nikipata pesa hazikai kila lolote nifanyalo halifanikiwi.

kuna siku nilishawah kukuta mbegu 3 juu ya mlango seblen kibaya zaid nina ndugu zangu ambao nimeshare nao baba hawapendi kuniona ninafanikiwa hasa huyu mmoja ndio nilikuw nakaa nae jiran ni kaka angu yeye ni askar police lkn kajawa na chuki na wivu siku zote hawa ndugu zangu wanapenda mm niwe wakuteseka tu.

ila kila mtu alikuw na familia yake na mji wake ila saiv kahamia kota za barracks toka mwaka jana mwez wa 4 lkn jamaa huyu haachi kunisemea ubaya kwa watu na kudai mm mzee wetu ananipendelea sana kuliko wao ila kiuhalisia haipo hvyo ni chuki tu zimemtawala na tumekuw wote toka wadogo nafaham tabia zao za chuki na alivyohama hakuwah kuniaga yeye hata mkewe ilifika kipind hata mtoto wao alishawahi kusema "mama amenikataza nisije kwa baba mdogo" tena akiwa na mama ake mm na mke wangu tukaishia kucheka tu nakupotezea

mara nyingi ndugu yangu nishawah kumchana tabia yake ya chuki na roho mbaya anaeza kumpigia cm mama ake jamaa akaongea uongo uongo juu yangu hata mama ake pia hanipend japo kanilea lkn ni mtu aliekuwa na chuki na mm za kmy kmy na mm hilo nalifaham sna.

NIFANYAJE HAPO KUJIKWAMUA KWAMAAN NAHIS KM KUNA MCHEZO NINAOFANYIWA AMBAPO SIELEW MAMBO YANGU YANAFELI GHAFLA PESA SIZIONI NA NIKIPATA HAZIKAI NIKIENDA KUFANYA INTERVW ZA KAZ NAONA MATUMAINI KABISA LKN SIITWI WALA MREJESHO WWT

SIJUI NIFANYE NINI HAPO AKILI YANGU IMEKOSA KUFIKIRI ZAID BADO FAMILIA INANIANGALIA MAMBO YAMEYUMBA SAN MPK SAS NAANZA KUUZA VITU VYA NDANI ILI NIPATE KULISHA MKE NA MTOTO WANGU
Nikupe koneksheni ya mtaalam?
 
Nilipata kazi 2020 kweny kampuni X maaruf sana hapa Tz nashukuru Mola mambo yangu yalinyooka saaana vijisent vidg vdg havikuwa vikwazo tena kwangu

Ghafla mwaka jana 2022 mwez wa 12 nikasimamishwa kaz kwa kosa ambalo mpk na leo sielewi bado nikatapeliwa milion 1.4 na kampuni yangu huku mikosi inaniandama nikipata pesa hazikai kila lolote nifanyalo halifanikiwi.

kuna siku nilishawah kukuta mbegu 3 juu ya mlango seblen kibaya zaid nina ndugu zangu ambao nimeshare nao baba hawapendi kuniona ninafanikiwa hasa huyu mmoja ndio nilikuw nakaa nae jiran ni kaka angu yeye ni askar police lkn kajawa na chuki na wivu siku zote hawa ndugu zangu wanapenda mm niwe wakuteseka tu.

ila kila mtu alikuw na familia yake na mji wake ila saiv kahamia kota za barracks toka mwaka jana mwez wa 4 lkn jamaa huyu haachi kunisemea ubaya kwa watu na kudai mm mzee wetu ananipendelea sana kuliko wao ila kiuhalisia haipo hvyo ni chuki tu zimemtawala na tumekuw wote toka wadogo nafaham tabia zao za chuki na alivyohama hakuwah kuniaga yeye hata mkewe ilifika kipind hata mtoto wao alishawahi kusema "mama amenikataza nisije kwa baba mdogo" tena akiwa na mama ake mm na mke wangu tukaishia kucheka tu nakupotezea

mara nyingi ndugu yangu nishawah kumchana tabia yake ya chuki na roho mbaya anaeza kumpigia cm mama ake jamaa akaongea uongo uongo juu yangu hata mama ake pia hanipend japo kanilea lkn ni mtu aliekuwa na chuki na mm za kmy kmy na mm hilo nalifaham sna.

NIFANYAJE HAPO KUJIKWAMUA KWAMAAN NAHIS KM KUNA MCHEZO NINAOFANYIWA AMBAPO SIELEW MAMBO YANGU YANAFELI GHAFLA PESA SIZIONI NA NIKIPATA HAZIKAI NIKIENDA KUFANYA INTERVW ZA KAZ NAONA MATUMAINI KABISA LKN SIITWI WALA MREJESHO WWT

SIJUI NIFANYE NINI HAPO AKILI YANGU IMEKOSA KUFIKIRI ZAID BADO FAMILIA INANIANGALIA MAMBO YAMEYUMBA SAN MPK SAS NAANZA KUUZA VITU VYA NDANI ILI NIPATE KULISHA MKE NA MTOTO WANGU
Mm siku izi nachukia kazi za kuajiriwa..... Sizipendi Kaz za laki 2 na nusu mpk 1m labda kama ni kwame kabisa...

Nakushaur Kwa Imani yako NENDA KWA MWAMPOSA
 
Yatapita ....kuwa na Imani na endelea kumtegemea M/ Mungu pasipo kukata tamaa kwenye utafutaji..... Pia kabla hujatafuta ma sheikh kukuombea dua unapaswa kujiombea mwnyw kwanza....funga suna amka usiku swali mlilie M/Mungu hakika utafanikiwa na palipo fungwa patafunguka...Inshaallah
 
Yatapita ....kuwa na Imani na endelea kumtegemea M/ Mungu pasipo kukata tamaa kwenye utafutaji..... Pia kabla hujatafuta ma sheikh kukuombea dua unapaswa kujiombea mwnyw kwanza....funga suna amka usiku swali mlilie M/Mungu hakika utafanikiwa na palipo fungwa patafunguka...Inshaallah

inshallah
 
Nilipata kazi 2020 kweny kampuni X maaruf sana hapa Tz nashukuru Mola mambo yangu yalinyooka saaana vijisent vidg vdg havikuwa vikwazo tena kwangu

Ghafla mwaka jana 2022 mwez wa 12 nikasimamishwa kaz kwa kosa ambalo mpk na leo sielewi bado nikatapeliwa milion 1.4 na kampuni yangu huku mikosi inaniandama nikipata pesa hazikai kila lolote nifanyalo halifanikiwi.

kuna siku nilishawah kukuta mbegu 3 juu ya mlango seblen kibaya zaid nina ndugu zangu ambao nimeshare nao baba hawapendi kuniona ninafanikiwa hasa huyu mmoja ndio nilikuw nakaa nae jiran ni kaka angu yeye ni askar police lkn kajawa na chuki na wivu siku zote hawa ndugu zangu wanapenda mm niwe wakuteseka tu.

ila kila mtu alikuw na familia yake na mji wake ila saiv kahamia kota za barracks toka mwaka jana mwez wa 4 lkn jamaa huyu haachi kunisemea ubaya kwa watu na kudai mm mzee wetu ananipendelea sana kuliko wao ila kiuhalisia haipo hvyo ni chuki tu zimemtawala na tumekuw wote toka wadogo nafaham tabia zao za chuki na alivyohama hakuwah kuniaga yeye hata mkewe ilifika kipind hata mtoto wao alishawahi kusema "mama amenikataza nisije kwa baba mdogo" tena akiwa na mama ake mm na mke wangu tukaishia kucheka tu nakupotezea

mara nyingi ndugu yangu nishawah kumchana tabia yake ya chuki na roho mbaya anaeza kumpigia cm mama ake jamaa akaongea uongo uongo juu yangu hata mama ake pia hanipend japo kanilea lkn ni mtu aliekuwa na chuki na mm za kmy kmy na mm hilo nalifaham sna.

NIFANYAJE HAPO KUJIKWAMUA KWAMAAN NAHIS KM KUNA MCHEZO NINAOFANYIWA AMBAPO SIELEW MAMBO YANGU YANAFELI GHAFLA PESA SIZIONI NA NIKIPATA HAZIKAI NIKIENDA KUFANYA INTERVW ZA KAZ NAONA MATUMAINI KABISA LKN SIITWI WALA MREJESHO WWT

SIJUI NIFANYE NINI HAPO AKILI YANGU IMEKOSA KUFIKIRI ZAID BADO FAMILIA INANIANGALIA MAMBO YAMEYUMBA SAN MPK SAS NAANZA KUUZA VITU VYA NDANI ILI NIPATE KULISHA MKE NA MTOTO WANGU

Fanya kazi kwa bidii, ukianza amini unalogwa ujue umaskini unaenda kukuganda
 
Hizo mbegu ungeenda kuzipanda nje. Maybe n za mti wa matunda.
On a serious note, kama ukiamini umepigwa kimbola bas life lako litakua gumu kwa kipindi kirefu sana.
Kila mwanaume anapitia milima na mabonde kwenye life, kuna kipindi unawamba mpka unahisi ulikosea kuja duniani then later mambo yanakaa mswano.
Cha muhim we komaa kila kona ulishe familia yako life liende maana jeyri ya mshua n watoto kwenda chooni.
Huko mbele yatajiseti tu.
Hata b4 kupata hii kampuni X lazma uliwahi pitia msoto pia sema tu huu wa sasa hv unauona mkali kwa maana ulikua umebadolisha maisha so hata shida zako zikabadilika pia
 
Back
Top Bottom