Naamini kuna watu wameweza ku-unlock secret codes za maisha na wanaishi kawaida na sisi kama watu wa kawaida

Hizi nyuzi zako zina amsha amsha ya kufanya watu waangalie mambo katika sura nyingine.

Dunia imejaa nadharia nyingi sana ambazo hazijafanyiwa kazi.
Tatizo ni namna ya kuzing'amua.
Mfano mzuri ni, Elon Musk anavyofanya mambo kwa mtazamo/nadharia tofauti na ile iliyozoeleka....hii inaonesha yako mambo mengi sana ila yote yanategemea uwezo wa kifikra wa binadamu kùyafanya bayana.
Ni muda muafaka tuanze kufanya mambo mtambuka sio tu burudani kila muda.

Ahsante mkuu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni akina nani hao ambao wanakua considered kuwa wame Break secret code?

Nyerere, Platinumz, Samatta, Ramadhani Brothers, Bharesa, Mo au Kusaga nk nk?

Ni Dangote, Mo Salah, Davido au Noah nk nk?

Je ni Trump, Bill Gate, Steve Job, Jay Z au Messi nk nk

Je ni Alexendra the Great, Newton, Einstein nk nk

Na akina nani hao ambao ni HIGHER-POWER

Nature ina sheria zake
Most people intend to ignore NATURE na kuanza kukumbatia IMANI kutafuta majibu

Binadamu hajui kila kitu lakini angalau sayansi imetusaidia kujibu maswali mengi yaliosingiziwa IMANI

Tunahitaji kuijua zidi The Law Of Nature
Kwanini kuna usiku na mchana, kuna majira kwa mwaka, kuna viumbe wakike wengi kuliko wakiume, kwanini social animal wanauongozi, kwanini wengine ni masikini wengine matajiri,
Kwanini sehemu fulani wanaugua sana ugonjwa fulani
Kwanini wapare ni wafupi nk nk

Badala yake tumejikita sana kwenye IMANI zitokanazo na vitabu ambavyo havijulikani muandishi ni nani wala vya mwaka gani wala ukweli wake na havina uthibitisho wowote zaidi ya hekaya za elfu ulela
Tuna amini katika nadharia hewa na kujijengea “fear of unknown”

Majibu ya hoja zako kiasi kikubwa yanajibika kisayansi
Katika kujibu maswali yako, jiulize pia kwanini hivyo vitabu vipo? vilitoka wapi? kwanini vinaaminika sana? kwanini unaishi kwa hofu kuwa kuna Mungu?

So kupata majibu ya maswali yako(ambayo kwa hakika huwezi kuyajibu), tumia kila option juu ya meza, vitabu na hiyo science umesema
 
Umenena vema san hizi lyrics zina maana sana wakati mwingine chek hizi lyrics za P-square katika wimbo wao wa Bring it on nanukuu “ i don care who you’re and where you 4m @ what you do just as long as you chasing money do what’s right never give upon……… Life no dey sweet o eh
If some people no dey hate o
So use your number six o
Dey calculate you go see the ratio
The beef sef na meat o
Whether na asun dem relate o
So bring your own crayfish o
We go mix o oh na oh oo

We running things in this town cant you see”
So hapo kuna kitu ni direct wamefanikiwa sbb ya mikataba yao ya kuzimu so wanajaribu kutufichua akili zetu

UKIWA NA MAFANIKIO kila utakalofanya litakua na maana kubwa kwa wasiofanikiwa

Just imagine issue nzito kama hii mtu unatumia lyrics za Chibu au P Square kujengea hoja kwa sababu tu tunawaona wame break the secret code
 
Katika kujibu maswali yako, jiulize pia kwanini hivyo vitabu vipo? vilitoka wapi? kwanini vinaaminika sana? kwanini unaishi kwa hofu kuwa kuna Mungu?

So kupata majibu ya maswali yako(ambayo kwa hakika huwezi kuyajibu), tumia kila option juu ya meza, vitabu na hiyo science umesema

Nikijibu haya maswali tutatoka nje ya MADA

Karibu tujadili kuhusu hilo swali lako hapa Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world
 
Kuna ukweli ndani yake... Ukiangalia na kufatilia watu mashuhuri especially wasanii... Kuna vitu wanafanya behind the scenes (kupata fame na success) sidhan kua et kipaj na uwezo binafs ndo viliwatoa. It's all about the secret society.
Mi nimeanza kuhisi kitu kupitia show yao ya full moon party every month kendwa rocks.(Zanzibar)

Ni kua wanajichaj,kufanya rituals kwa wataalamu hapa ndipo pa kuanzia.....
 
Hauwezi niambia there is a limit katika universe and beyond. Kuna limit pale endapo fikra yako itaomba poo au pale resources zako hazitakufikisha zaidi na zaidi (limited resources).

Labda waliweza kudedicate muda wao wote katika kutathmini uwepo wao na kwenda beyond uwezo wao wa kawaida thus wakaweza kuwa extra-ordinary.

Labda walikuwa chosen na the "higherpower" na wakaweza kuwa granted na power, energy na uwezo ambavyo havipo ndani yetu sisi wengine mabilioni ya watu duniani.

Kama tunaamini kuna laana, kama tunaamini kuna uchawi, kama tunaamini kuna roho mtakatifu, kama tuna kunatokeaga "an act super humanism" (mfano unaweza kimbizwa na mbwa kichaa mkali na ukashangaa unaruka ukuta mrefu ambao ukija kurudia kuruka haufanikiwi kabisa).

Kama tunaamini Jacob aliweza kushindana na mwanaume ambae sio wa kawaida (mwenye uwezo ulio wa kimbingu) licha ya kumvunja Jacob uvungu wa paja bado mwanaume yule alimpa heshima yake kuwa ameweza kupigana na Mungu kitu ambacho wengine duniani hawawezi.

Sasa unakaa unajiuliza inakuwaje mtu mwenye divine powers anashindwa na mtu wa kawaida duniani.

Je, Jacob aliweza ku-unlock prowess ambayo sio ya kawaida hadi kupigana mieleka na a divine power?

Au Jacob alikuwa chosen na "the higherpower" tokea akiwa tumboni ndio maana hata ikawa rahisi hadi kumuibia pacha mwenzake Esau zile baraka na ukuu wa mtoto wa kwanza kuzaliwa.

Inafikirisha sana ndugu zangu, kwamba 1% ya watu duniani ina control 99% percent ya sisi wengine.

Inafikirisha ndugu zangu kuwa kuna wakujiita manabii wana powers za kufanyia watu miujiza.

Inafikirisha sana ndugu zangu pale watu walio wakajituma sana na waaminifu ila bado wamebaki katika nafasi hio hio huku wakinung'unika.

DUNIA NI FUMBO KWA SISI WENGINE ILA KWA WENGINE DUNIA JAWABU.
Reflection kali kali!
 
Kuna ukweli ndani yake... Ukiangalia na kufatilia watu mashuhuri especially wasanii... Kuna vitu wanafanya behind the scenes (kupata fame na success) sidhan kua et kipaj na uwezo binafs ndo viliwatoa. It's all about the secret society.

Dhana kama hizi ni mbaya sana kwa afya ya ustawi wa maendeleo yako mkuu
Zinafifisha juhudi zako kwasababu unaamini haiwezekani kutoka bila “secret code”

Utajikuta sasa unatumia muda mwingi kwa waganga or whatever kutafuta favor ili utoke badala ya kujibidiisha
 

Dhana kama hizi ni mbaya sana kwa afya ya ustawi wa maendeleo yako mkuu
Zinafifisha juhudi zako kwasababu unaamini haiwezekani kutoka bila “secret code”

Utajikuta sasa unatumia muda mwingi kwa waganga or whatever kutafuta favor ili utoke badala ya kujibidiisha
Mkuu sio udhanivyo... Usifikir mafanikio yanakuja Kwa kuhustle 24/7 nikisema secrete society simaanishi wachawi🤣 hawa ni watu wenyew power duniani ni kama Roma jinsi walivyoteka dini. Sasa kama unafikir kujibidisha ndo mafanikio it's well and good.
 
Hivi ni akina nani hao ambao wanakua considered kuwa wame Break secret code?

Nyerere, Platinumz, Samatta, Ramadhani Brothers, Bharesa, Mo au Kusaga nk nk?

Ni Dangote, Mo Salah, Davido au Noah nk nk?

Je ni Trump, Bill Gate, Steve Job, Jay Z au Messi nk nk

Je ni Alexendra the Great, Newton, Einstein nk nk

Na akina nani hao ambao ni HIGHER-POWER

Nature ina sheria zake
Most people intend to ignore NATURE na kuanza kukumbatia IMANI kutafuta majibu

Binadamu hajui kila kitu lakini angalau sayansi imetusaidia kujibu maswali mengi yaliosingiziwa IMANI

Tunahitaji kuijua zidi The Law Of Nature
Kwanini kuna usiku na mchana, kuna majira kwa mwaka, kuna viumbe wakike wengi kuliko wakiume, kwanini social animal wanauongozi, kwanini wengine ni masikini wengine matajiri,
Kwanini sehemu fulani wanaugua sana ugonjwa fulani
Kwanini wapare ni wafupi nk nk

Badala yake tumejikita sana kwenye IMANI zitokanazo na vitabu ambavyo havijulikani muandishi ni nani wala vya mwaka gani wala ukweli wake na havina uthibitisho wowote zaidi ya hekaya za elfu ulela
Tuna amini katika nadharia hewa na kujijengea “fear of unknown”

Majibu ya hoja zako kiasi kikubwa yanajibika kisayansi
Sasa wapare wameingiaje hapa 😁
 


Mkuu sio udhanivyo... Usifikir mafanikio yanakuja Kwa kuhustle 24/7 nikisema secrete society simaanishi wachawi hawa ni watu wenyew power duniani ni kama Roma jinsi walivyoteka dini. Sasa kama unafikir kujibidisha ndo mafanikio it's well and good.
Kwa hiyo wa Roma ndio wamempa utajiri Mo Dewji au Bhakresa?

Nyie ndio aina ya watu mnakesha makanisani KUPOKEA utajiri
Au wale kutwa kuhangaika na waganga kusafisha nyota

Mkuu maisha ya kutafuta FAVOR ni utumwa na ujinga.... HAYAPO

Juhudi maana yake sio kukesha masaa 24/7 unafanya kazi...... ni matumizi sahihi ya akili, muda, maarifa na timing

Be very careful mkuu
Kwa akili zako hizi ukichoka umasikini hukawii kumtoa mwanao KAFARA halafu na mali hutapata

Hatuwezi wote kuwa matajiri..... NEVER
Lakini ukiwa na juhudi na akili utaishi maisha yakawaida kabisa na timing ikikubali unatoboa
 
Kwa hiyo wa Roma ndio wamempa utajiri Mo Dewji au Bhakresa?

Nyie ndio aina ya watu mnakesha makanisani KUPOKEA utajiri
Au wale kutwa kuhangaika na waganga kusafisha nyota

Mkuu maisha ya kutafuta FAVOR ni utumwa na ujinga.... HAYAPO

Juhudi maana yake sio kukesha masaa 24/7 unafanya kazi...... ni matumizi sahihi ya akili, muda, maarifa na timing

Be very careful mkuu
Kwa akili zako hizi ukichoka umasikini hukawii kumtoa mwanao KAFARA halafu na mali hutapata

Hatuwezi wote kuwa matajiri..... NEVER
Lakini ukiwa na juhudi na akili utaishi maisha yakawaida kabisa na timing ikikubali unatoboa
Upo sahihi mkuu, ila Sina mindset ambayo unaniwazia... Nikirejea mada ya Uzi huu, ulikua umebase huko.. ni Hoja tu ndo tumepingana na sio vita. Kwel jitihada na maarifa ndo key to success. Ila Kuna wengine hawavitumii na Bado wako rich. Hili liko Waz kabsa. Ukizungumzia Mo hio ni generational wealth. Bakhresa pia... Hata hivyo Wana consistency ndo maana wealth Yao haishuki. Siamini Uchawi mkuu, ila Kuna watu wananguvu duniani sio za kichawi lakin. Ni kama vile ufalme tuseme.
 
Dhana kama hizi ni mbaya sana kwa afya ya ustawi wa maendeleo yako mkuu
Zinafifisha juhudi zako kwasababu unaamini haiwezekani kutoka bila “secret code”

Utajikuta sasa unatumia muda mwingi kwa waganga or whatever kutafuta favor ili utoke badala ya kujibidiisha
Ndugu,hata mimi naamini kama wewe,jamii za Siri kimekuwa kichaka cha watu fulani kila waonapo mtu kafanya jambo ambalo wao limewashinda au kuwashangaza.
Kuna wazee wa tahajudi,
Kuna wazee wa kukomaa tu na Sheria za ulimwengu,
Kuna wazee wa yoga,
Kuna hawa wataalam wa kutumia dhana/madawa.(wasafisha mwili),
Kuna wengine wako busy na mantras kikamilifu,,,
Kuna wale wanaofanya kazi wanayoipenda wakiwa na furaha sana bila kujali kipato cha kazi hiyo(Hawa huwa matajiri wa jumla(utajiri wao huanzia ndani kabisa)).

Sasa mtu akitoboa kutoka kwenye kundi lolote hapo juu ataambiwa ni SECRET SOCIETY fulani.

Tatizo kingine,akili ya mwanadamu ikishindwa kuelewa jambo fulani linavyofanyika,na akaja mwingine akalifanya kwa usahihi kabisa,,,,basi akili ile itaamini aidha ni MUUJIZA AU UCHAWI ndio uliotumika. Rejea Giza na Nuru.
Ushauri....TUJITAHIDI SANA KUFIKIRI,TUFIKIRI NA TUFIKIRI....NI SIFA YETU KAMA VIUMBE WENYE UTASHI.
 
Ndugu,hata mimi naamini kama wewe,jamii za Siri kimekuwa kichaka cha watu fulani kila waonapo mtu kafanya jambo ambalo wao limewashinda au kuwashangaza.
Kuna wazee wa tahajudi,
Kuna wazee wa kukomaa tu na Sheria za ulimwengu,
Kuna wazee wa yoga,
Kuna hawa wataalam wa kutumia dhana/madawa.(wasafisha mwili),
Kuna wengine wako busy na mantras kikamilifu,,,
Kuna wale wanaofanya kazi wanayoipenda wakiwa na furaha sana bila kujali kipato cha kazi hiyo(Hawa huwa matajiri wa jumla(utajiri wao huanzia ndani kabisa)).

Sasa mtu akitoboa kutoka kwenye kundi lolote hapo juu ataambiwa ni SECRET SOCIETY fulani.

Tatizo kingine,akili ya mwanadamu ikishindwa kuelewa jambo fulani linavyofanyika,na akaja mwingine akalifanya kwa usahihi kabisa,,,,basi akili ile itaamini aidha ni MUUJIZA AU UCHAWI ndio uliotumika. Rejea Giza na Nuru.
Ushauri....TUJITAHIDI SANA KUFIKIRI,TUFIKIRI NA TUFIKIRI....NI SIFA YETU KAMA VIUMBE WENYE UTASHI.

 
Back
Top Bottom