Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,367
4,989
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
1711910084689.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Duh hiyo picha ina uhusiano na habari? maana naiona mikono ya watu wa mnyaaz mungu imeelekea kwenye kuvabua minyama
 
Back
Top Bottom