johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,668
- 145,456
Kuna watu wanadhani na kuamini kwamba Zitto Kabwe ni kiongozi asiyependa ubabe, wanakosea sana.
Zitto Kabwe ni mbabe kupita hayati Magufuli.
Zitto Kabwe aliwahi kumsweka ndani mkurugenzi wa TPDC kwa jambo ambalo lilihitaji mjadala tu na alipohojiwa alisema katiba ndio imempa Madaraka hayo akiwa kama mwenyekiti wa PAC.
Sasa, fikiria mtu aje kuwa Amiri. Twafaaa!
Mungu mbariki Naibu wa Spika.
Maendeleo hayana vyama
Zitto Kabwe ni mbabe kupita hayati Magufuli.
Zitto Kabwe aliwahi kumsweka ndani mkurugenzi wa TPDC kwa jambo ambalo lilihitaji mjadala tu na alipohojiwa alisema katiba ndio imempa Madaraka hayo akiwa kama mwenyekiti wa PAC.
Sasa, fikiria mtu aje kuwa Amiri. Twafaaa!
Mungu mbariki Naibu wa Spika.
Maendeleo hayana vyama