chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,258
- 21,054
Ukiona moshi, usidhani uko Mkoa wa Kilimanjaro, wakati mwingine ni moto unawaka chini kwa chini.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa rushwa ya kiwango cha kutisha, kiasi kwamba aliamua ajiondoe kuogombea uenyekiti wa chama mkoa wa Mbeya.
Ameendelea kusema kwamba chama hicho kimejaa watu wenye roho mbaya sana kuliko hata CCM.
Full video, tembelea youtube page ya Jambo.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema Mkoa wa Mbeya amekiri kwamba uchaguzi ndani ya chama umejaa rushwa ya kiwango cha kutisha, kiasi kwamba aliamua ajiondoe kuogombea uenyekiti wa chama mkoa wa Mbeya.
Ameendelea kusema kwamba chama hicho kimejaa watu wenye roho mbaya sana kuliko hata CCM.
Full video, tembelea youtube page ya Jambo.