Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Hali zenu JF!
Yaani nmekua napata usumbufu kweli.
Huyu fundi muda mwingi ananidanganya sana. Kitabu nlipewa cha lugha ya Japanes....nakua nashindwa kuelewa vizuri.
Naomba alie nacho nikakipigishe photocopy au aniuzie kama akiweza!.
Kila mahala kichwa kinauma, yaan......!!!!!!!!
Nataabika!
Yaani nmekua napata usumbufu kweli.
Huyu fundi muda mwingi ananidanganya sana. Kitabu nlipewa cha lugha ya Japanes....nakua nashindwa kuelewa vizuri.
Naomba alie nacho nikakipigishe photocopy au aniuzie kama akiweza!.
Kila mahala kichwa kinauma, yaan......!!!!!!!!
Nataabika!