Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 2,927
- 6,221
It’s a culture issue (watanzania tuna matatizo), kusema unampenda mwanamke wa mwenzako nchi za wenzetu it’s a very disrespectful situation.
Ni kwa sababu tunaishi Tanzania tu; nchi nyingine utaumizwa.
Halafu kuna watu wanasifia ujinga wa Harmonize; huwezi kumuimbia mapenzi mchumba wa mtu mwingine nchi za wenzetu bila ya kupata migogoro.
Hawa waluga luga Serikali imewalea sana mpaka kujiona watu muhimu.
Ni kwa sababu tunaishi Tanzania tu; nchi nyingine utaumizwa.
Halafu kuna watu wanasifia ujinga wa Harmonize; huwezi kumuimbia mapenzi mchumba wa mtu mwingine nchi za wenzetu bila ya kupata migogoro.
Hawa waluga luga Serikali imewalea sana mpaka kujiona watu muhimu.