Rumor has it mzee wa hulisi kamtwanga dada wa bango la valentine talaka moja na mke wa pili juu......
Tatizo sio kuachika, tatizo ni kujishaua sana my husband this my husband that, vikiumana lazima utamani ulimwengu ukulele
Wanawake mnaowazidi vipato waume zenu kaeni kwa kutulia na muendelee na life lenu kimya kimya, maana ni swala la muda tu kabla hujapigwa na shambulio la aibu, sasa ni bora likukute wakati uko private, ukiwa na mashauzi stress za naonekanaje zinauma kuliko tukio lenyewe.
In the end mwanaume halelewi, dada kama umejipata tayari basi tafuta aliyejipata kama wewe au zaidi, mambo ya building together achia watoto wa chuo huko ambao hawajui what the future holds sababu milango ya pesa inaweza funguka kwa yeyote kati yao bila kujali jinsia
Tatizo sio kuachika, tatizo ni kujishaua sana my husband this my husband that, vikiumana lazima utamani ulimwengu ukulele
Wanawake mnaowazidi vipato waume zenu kaeni kwa kutulia na muendelee na life lenu kimya kimya, maana ni swala la muda tu kabla hujapigwa na shambulio la aibu, sasa ni bora likukute wakati uko private, ukiwa na mashauzi stress za naonekanaje zinauma kuliko tukio lenyewe.
In the end mwanaume halelewi, dada kama umejipata tayari basi tafuta aliyejipata kama wewe au zaidi, mambo ya building together achia watoto wa chuo huko ambao hawajui what the future holds sababu milango ya pesa inaweza funguka kwa yeyote kati yao bila kujali jinsia