Huku mambele madogo hadi darasa la 3 wanaruhusiwa kuwa na simu shuleni. Ila ni jukumu la mlezi/mzazi kuicontrolWazazi tunapishana kweli niko gari la Goba nyuma kabisa naona katoto ka shule kanachat
Nakauliza umetoka shule ndio darasa la ngapi form 2.
Unaruhusiwa kuwa na simu shulen ndio nawekaga silent
Aisee yuko busy anatuma meseji tuzidi kuwaombea tu.
Darasa la sita kwa shule za 'kayumba' mwanafunzi anaruhusiwa kuwa na simu,ila kwa shule za 'yes no' ni darasa la pili!Wazazi tunapishana kweli niko gari la Goba nyuma kabisa naona katoto ka shule kanachat
Nakauliza umetoka shule ndio darasa la ngapi form 2.
Unaruhusiwa kuwa na simu shulen ndio nawekaga silent
Aisee yuko busy anatuma meseji tuzidi kuwaombea tu.
Sio boda tu hata wadau mtaani. Watoto wanaanza mambo wakiwa wadogo sana.Cku hz kawaidaa mkuu na wanalika unakuta ktt Cha 4m2 km huyo vijana wa boda washamkula mpk wamemkinai na hawamtaki tenaa..
Cku hz kawaidaa mkuu na wanalika unakuta ktt Cha 4m2 km huyo vijana wa boda washamkula mpk wamemkinai na hawamtaki tenaa..
hebu muache mtoto wa watu, mwenzio anachat na babee wake. Lolyaaan namwangalia nasikia kama Israel inavamia basi
Na wana mipango yao ya ndoa 😂hebu muache mtoto wa watu, mwenzio anachat na babee wake. Lol