Mwana mfalme wa Saudi Arabia Mohamed Salman anusuruka Kuuawa huko Riyadh

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,899
16,536
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.

Screenshot_20240507_074256_X.jpg
 
Watajuta hao waliotaka kumuua, anajua ana maadui wengi sana ndio maana anashirikiana na USA na Israel kwa ulinzi zaidi.
Kwahiyo ukilindwa na hao uliowataja ndio maadui zako watakukosa? hao wenyewe ulio wataja ni wahanga pia na hawawezi kujilinda wao wenyewe na kila kitu in 100%

Kwahiyo wote wasiolindwa na hao uliowataja wao hawana maadui wengi? hao uliowataja ndio maadui wenyewe sasa kama ulikua hujui.
 
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani na israeli katika siku za hivi karibuni hasa kwenye mgogoro huu wa Palestine na Israel. Kijana Mohamed Salman anaonekana kutaka kuleta mageuzi ndani ya nchi hiyo ya kiislamu huwenda ikawa ni sababu ya wanaopinga utawala kuamua kuchukua jukumu la la kutaka kumuua.

View attachment 2983068
Akufe tu.
 
Kwahiyo ukilindwa na hao uliowataja ndio maadui zako watakukosa? hao wenyewe ulio wataja ni wahanga pia na hawawezi kujilinda wao wenyewe na kila kitu in 100%

Kwahiyo wote wasiolindwa na hao uliowataja wao hawana maadui wengi? hao uliowataja ndio maadui wenyewe sasa kama ulikua hujui.
Marekani wakati wa trump ndo waliomuweka
Kiutaratibu wa kifalme sio yeye anayefuata na aliwaweka kizuizini maprince wote baada ya kuwa mfalme

Yule ni kibaraka wa nchi za western ndo maana katoa kibali cha kufungua duka la kuuza pombe riyadh na mabadiliko kibao anayafanya ambayo hapo nyuma hakuna aliyetegemea yatafanyika saud arabia
 
Tuletee ushahidi hatuamini stori za kwenye vijiwe vya kahawa sisi
Kama na hili hujui pole sana
Inamaana hujui kwenye kurithi kiti cha ufalme sio yeye anayefuata
Aisee jamiiforum kuna watoto wengi sana

Tukio la juzi juzi mpaka yule tajiri mkubwa saud arabia mwenye asili ya ethiopia kuwekwa kuzuizini pamoja na prince karibia wote nalo tena hulijui pole sana
 
Back
Top Bottom