Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,683
- 52,011
Watu wana balaa na dharau za mapesa. Huko Dubai mvua zimeleta majanga ya mafuriko hadi miundombinu kama barabara na airports kuacha kufanya kazi kwa muda.
Sasa kuna jitu lenyewe halijali, limeonekana likiendesha gari yake Pagani Utopia kama ni off-road car kwenye maji. Na gari haikuzima (labda kama ilizima off camera)
Shida sio bei ya hii gari $2.5 Million (Bil 6.5 hivi Tsh bila ushuru) ila shida ni kwamba izo gari Duniani zipo 99 tu. Sijakosea.
Ukitokea siku ndugu msomaji wa huu uzi umeipata, Taifa lazima likutambue.
Asanteni.
Sasa kuna jitu lenyewe halijali, limeonekana likiendesha gari yake Pagani Utopia kama ni off-road car kwenye maji. Na gari haikuzima (labda kama ilizima off camera)
Shida sio bei ya hii gari $2.5 Million (Bil 6.5 hivi Tsh bila ushuru) ila shida ni kwamba izo gari Duniani zipo 99 tu. Sijakosea.
Ukitokea siku ndugu msomaji wa huu uzi umeipata, Taifa lazima likutambue.
Asanteni.