MWAKYEMBE: Viongozi wasiopenda kukaguliwa wasipande ndege [Channel 10]

Kuna aina fulani wa viongozi wanaitwa viongozi wa kimapinduzi "revolutionary leaders" , huwa hawawi wengi kwenye jamii lakini ni wa muhimu sana jamii inapotakiwa kutoka kwenye mazoea "status quo" na kwenda katika daraja lingine la maisha "paradigm shift". Labda changamoto ni kumtambua akitokeza.
 
Nakumbuka nilifundiswa sheria na pale milimani na Prof mmoja anaitwa Professor Luoga siku moja alidiriki kusema maneno yafuatayo namnukuu" ONCE A LAWYER GETS INTO POLITICS HE/SHE CEASE TO THINK"
Kwa tafsiri isiyo sahii ni kwamba ukiwa mwanasheria then ukawa mwanasiasa akili yako ina koma kufikri kwa usahihi.
Hii imedhihirika kwa Msomi mbobevu wa mambo ya copyrights au haki miliki na hati miliki waziri wa Uchukuzi, Mh. Mwakyembe.
Kipindi cha scandal ya Richomd baada ya hotuba yake ya uchunguzi alimalizia kwa kusema kuwa yapo mengi ambayo ameyaacha kwa sababau ya heshima ya serikali. maana yangu hapa ni kwamba Mwanasheria alishindwa kuzungumza yale aliyo yaacha ambayo ni ya msingi mpaka leo wengi wetu tunajuiuliza ni nini. Alizunguka nchi nzima kupinga ufisadi na hatimaye kuasisi chama cha CCK lakini baada ya kupata cheo cha uwaziri mwakyembe alikaa kimya kama vile kamwagiwa Tindikali.
Suala la madawa ya kulevya mwakyembe anajua kabisa kuwa wauza unga ndo wadhamini wakubwa wa Chama cha mapinduzi itakuwa ngumu kwa yeye kuanza harakati za kupiga vita madawa ya kulevya huku waziri mhusika Nchimbi Wazri ambaye ndo wizara yake akiwa kimya.
Kwa kuwa ni ngumu kwa mwakyembe kufanikisha adhma yake ya kupinga madawa ya kulevya ni dhahili kuwa anaanza kubwabwaja na hatimaye kuanza kuudanganya umma kwa lolote lile na hii ndiyo akili ya mwanasheria anaye ingia kwenye siasa.

Suala la unga si la mchezo kwani drug dealers wakubwa ni viongozi wa seriklai na je atawataja au ni mbwembwe za kutafuta umaarufu.
 
Nafikiri anawajua hao wauza unga chapa Azzan na kwa vile hawako upande wake ktk mbio za kwenda Magogoni basi anaweza fanya lolote ikibidi kulitotesha boti wagawane mbao,binafsi nilimuona Mwakyembe mnafiki pale alipoacha kuisoma ile ripoti yote ya Richmond,najua sio mimi tu bali wengi walimuona hivyo,nafikiri huu ndio wasaa sasa wa kuweka taswira yake vizuri maana kama alishindwa kusoma ile ripoti kuiponya Serikali,nina hakika kwa sasa Serikali haimo bali wahalifu ndani ya Serikali...
 
Anasema ukimwacha Rais, Makamu wa Rais, Spika na Jaji Mkuu, watu wote wasachiwe uwanja wa ndege. Mawaziri nao pamoja na yeye wasachiwe!



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
kwani na wao hawaaminiani, TZ bana?! puuuuuuuuu
 
Nakumbuka nilifundiswa sheria na pale milimani na Prof mmoja anaitwa Professor Luoga siku moja alidiriki kusema maneno yafuatayo namnukuu" ONCE A LAWYER GETS INTO POLITICS HE/SHE CEASE TO THINK"
Kwa tafsiri isiyo sahii ni kwamba ukiwa mwanasheria then ukawa mwanasiasa akili yako ina koma kufikri kwa usahihi.
Hii imedhihirika kwa Msomi mbobevu wa mambo ya copyrights au haki miliki na hati miliki waziri wa Uchukuzi, Mh. Mwakyembe.
Kipindi cha scandal ya Richomd baada ya hotuba yake ya uchunguzi alimalizia kwa kusema kuwa yapo mengi ambayo ameyaacha kwa sababau ya heshima ya serikali. maana yangu hapa ni kwamba Mwanasheria alishindwa kuzungumza yale aliyo yaacha ambayo ni ya msingi mpaka leo wengi wetu tunajuiuliza ni nini. Alizunguka nchi nzima kupinga ufisadi na hatimaye kuasisi chama cha CCK lakini baada ya kupata cheo cha uwaziri mwakyembe alikaa kimya kama vile kamwagiwa Tindikali.
Suala la madawa ya kulevya mwakyembe anajua kabisa kuwa wauza unga ndo wadhamini wakubwa wa Chama cha mapinduzi itakuwa ngumu kwa yeye kuanza harakati za kupiga vita madawa ya kulevya huku waziri mhusika Nchimbi Wazri ambaye ndo wizara yake akiwa kimya.
Kwa kuwa ni ngumu kwa mwakyembe kufanikisha adhma yake ya kupinga madawa ya kulevya ni dhahili kuwa anaanza kubwabwaja na hatimaye kuanza kuudanganya umma kwa lolote lile na hii ndiyo akili ya mwanasheria anaye ingia kwenye siasa.

Suala la unga si la mchezo kwani drug dealers wakubwa ni viongozi wa seriklai na je atawataja au ni mbwembwe za kutafuta umaarufu.

unataka kutusababishia ban au?
 
Maagizo ya kwenye vyombo vya habari tu! Utekelezaji wake kwenye sirikali hii utakuwa zero! Subiri utasikia next time kakamatwa waziri na sembe nje ya nchi ndio mtajua nasema nini!
 
Safi sana Mwakyembe endelea hivyohivyo! Kagua wengine wote hata Mawaziri na Wabunge maana nao wanaweza kutumia hadhi zao za kidiplomasia kupitisha madawa! Hakuna cha Rwakatare, Ritz, Idd Azzan na wengineo lazima wakaguliwe! Asiyetaka aache kusafiri!
Katika hali ya kuonesha kuwa Waziri Mwakyembe amelivalia njuga suala la madawa ya kulevya viwanja vya ndege ameanza na kusisitiza kuwa ukiacha Rais, Jaji Mkuu,makamu wa rais, na waziri mkuu, viongozi wengine wote, ni lazima wakaguliwe.

Alipoulizwa kuhusu kauli za kukosekana kwa vifaa uwanja wa JNIA.. Iliyotolewa na Mkurugenzi Deusdedith Kato, amesema kama hawezi akae pembeni,na kwamba huu si moto wa kifuu na ni zoezi la kudumu kwa viwanja vyote!!

SOURCE: JENERALI ON MONDAY..CHANNEL TEN

My take: tumpe benefit of doubt katika vita hii ambayo ilikosa mpambanaji kwa muda mrefu.
 
i wish nngekuwa rais wa tz kwa masaa 24 tuuu..yanatosha kabisa kuondoa kero zote za nchi.yaan nawahakikishia hii nchi mngeipenda na mngetaman niwe rais wa maisha.kwakwel swala la mgombea binafs linahusika sana kwa katiba hijayo.
 
haitakiwi kuleta kujua sana na kutaka umaarufu kwa njia nyepesi,nchi kama afrika kusini,iran,china wanafanya hivyo kama anavyo au
 
[h=3]WAFAHAMU WATU WATANO TU WASIOKAGULIWA UWANJA WA NDEGE NCHINI,WENGINE WOTE LAZIMA WAFANYIWE UKAGUZI WA KINA[/h]

KUANZIA sasa viongozi wote serikalini watakaopita kwenye viwanja vya ndege nchini, watakuwa wakikaguliwa kama abiria wengine, isipokuwa Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu na Spika wa Bunge.

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema ipo tabia ya viongozi wenye madaraka, kukiuka utaratibu na kupita katika viwanja vya ndege bila kukaguliwa.

Alisema kutokana na hali hiyo, amewaambia watumishi wanaofanya kazi katika viwanja hivyo, hususan Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) viongozi wasiokaguliwa ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu na Spika wa Bunge.

Alitoa msimamo huo wiki iliyopita kupitia kipindi cha Jenerali on Monday, kinachorushwa na Televisheni ya Channel Ten. Alisema viongozi wengine wote, wakiwamo mabalozi na mawaziri lazima wakaguliwe.


 
Back
Top Bottom