unclebk
Member
- Mar 6, 2019
- 40
- 105
Ni matumaini yangu wana JF mko salama salmin.
Mwaka jana Mwezi wa Nne mwanzoni ajira za Afya na Ualimu zilitangazwa, na watu tulianza pilikapilika (Japo baadhi yetu tulikosa).
Nilitegemea mwaka huu pia majira na nyakati kama hizi tuwe kwenye harakati kama mwaka jana.
==> Je, Mwaka huu ajara zipo kweli...?
Mwaka jana Mwezi wa Nne mwanzoni ajira za Afya na Ualimu zilitangazwa, na watu tulianza pilikapilika (Japo baadhi yetu tulikosa).
Nilitegemea mwaka huu pia majira na nyakati kama hizi tuwe kwenye harakati kama mwaka jana.
==> Je, Mwaka huu ajara zipo kweli...?