BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,435
- 8,254
DODOMA: Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amesema Setikali inatakiwa kufanyia kazi malalamiko ya Watumishi kuhusu suala la Kikokotoo cha 33% vinginevyo wataanza kuiba kwasababu wanajua wakistaafu hawatalipwa mafao yao yote.
Amesema "Kuna vitu vinazungumzwa tunaona kama haviwaumizi wananchi, yaani natakiwa nistaafu nikajitegemee sina nyumba halafu naenda kupata 30% lazima niondoke na mzigo liwalo na liwe. Watumishi wanalia na kikokotoo Serikali iwasikilize".
Kauli ya Musukuma inafuatia mvutano unaondelea Bungeni na Makazini kuhusu madai ya Watumishi kutaka asilimia za Kikokotoo ziwe kati ya 50% hadi 60% ya Mafao ya Kustaafu wakati kwasasa kiko 33%.
Soma LIVE - Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi
Amesema "Kuna vitu vinazungumzwa tunaona kama haviwaumizi wananchi, yaani natakiwa nistaafu nikajitegemee sina nyumba halafu naenda kupata 30% lazima niondoke na mzigo liwalo na liwe. Watumishi wanalia na kikokotoo Serikali iwasikilize".
Kauli ya Musukuma inafuatia mvutano unaondelea Bungeni na Makazini kuhusu madai ya Watumishi kutaka asilimia za Kikokotoo ziwe kati ya 50% hadi 60% ya Mafao ya Kustaafu wakati kwasasa kiko 33%.
Soma LIVE - Joseph Musukuma: Kikokotoo kinawaumiza wananchi, tunatengeneza taifa la wezi