TANZIA Mustafa Mkulo afariki dunia, Alikuwa Waziri wa Fedha kwenye Awamu ya Nne

Maalim Seif alifariki asubuhi akazikwa jioni, huyu kafa Ijumaa anazikwa Jumapili

Uislam ni Dini ya amani
Sasa mkuu, Prof. alikuwa na maeneo mawili ya kuishi unataka azikwe kama kajambanani ? Anaswaliwa kwanza hapo Mikocheni, then safari ya kwenda Kilosa ambako obvious wanafika jioni kama siyo usiku sasa unataka azikwe usiku usiku?
 
Kipindi nnapiga harakati zangu hapo wilaya ya kilosa,nshajaribu sn kumgumia kuongea naye kuhusu masuala mbalimbali
Ya hapo lkn mambo yakawa yanaishia hewani tu

Ova
Shukuru kwasababu mambo yengenyooka nawe ungekuwa fisadi papa.
 
Back
Top Bottom