Mungu aliumba jinsia mbili, mwili moja ni kujamiana, kwanini makanisa yanatumia maneno haya kulazimisha ndoa ya mke moja kinyume na utaratibu wa Mungu

Mkuu even wewe ni mtumishi na Bible ikisema askofu is iende nayo moja kwa moja kuwa ni askofu Hiyo ni lugha ya picha.
1wakolintho 7:2
Nakubaliana na wewe kwenye "Lugha ya picha" vp kuhusu Mapadri and Masisters au hapo hiyo lugha ya picha haifanyi kazi na badala yake tunatumia lugha ya video?
 
Wazungu wanatamani hata muda urudi nyuma wakabadilishe maandiko kwenye biblia
 
Nakubaliana na wewe kwenye "Lugha ya picha" vp kuhusu Mapadri and Masisters au hapo hiyo lugha ya picha haifanyi kazi na badala yake tunatumia lugha ya video?
Padri na Masisters wamekuwa mentioned wapi au una unasoma Nipashe ?
 
Ukweli huwa haubadiliki hata watu wengi wakiamini uongo ama kudanganywa bila kujua.

Suala la makanisa kutumia hayo maneno ni upotoshaji mkubwa

Mungu alimuumba mwanaume na mwanadamu, Hapo kinachozungumziwa ni jinsia alizoumba, hakukuwa na jinsia ya tatu, hapa sioni kama kuna valid point inayoingia ndoa ya mke moja.

Suala la kuwa mwili moja ni kitendo cha mwanaume na mwanamke kukutana kimwili, mnapounganika mnakuwa mwili moja na hapa ndio maana uzinzi unapigwa vita, uzinzi unaweza kukuhamishia kwako gonjwa la mliekutana na maroho machafu ya wengine waliopita. kwenye 1: wakorintho 6 : 16 "Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja." nashangaa makanisa yanapaza sauti kuashiria mwili moja kuhusiana na mke moja.

Yesu hakuzungumzia chochote kuhusu polygamy bali aligusia divorce pekee

Musa alioa mke zaidi ya moja
Wafalme karibu wote wa israel walioa zaidi ya mke mmoja, Solomon akiwa kinara

Lets Discuss: maoni yako ni yapi kwenye suala la makanisa kupindisha maandiko ?
Siyo lazima ufuate masuala ya dini yoyote unaweza kuamua hata kuwa mpagani ukaoa wanawake hata ishirini kadri moyo wako unavyoona inaridhisha.
Usitafute visingizio huku
 
si kila uambiwacho ni sahihi, oa hata mia kama una uwezo wa kuwatunza kwan wengine hawana uwezo wa kumtumza hata huyo mmoja.
 
Back
Top Bottom