Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,352
- 1,785
Nakubaliana na wewe kwenye "Lugha ya picha" vp kuhusu Mapadri and Masisters au hapo hiyo lugha ya picha haifanyi kazi na badala yake tunatumia lugha ya video?Mkuu even wewe ni mtumishi na Bible ikisema askofu is iende nayo moja kwa moja kuwa ni askofu Hiyo ni lugha ya picha.
1wakolintho 7:2