Lorenzo spencer
Member
- Aug 7, 2022
- 7
- 3
Mtoto wa jirani yangu hataki kula kabisa ana umri wa mwaka mmoja na nusu na ana kilo Tisa(9) tumeshajaribu kumpa virutubisho vya aina vyote Ila bado hataki kula tumempa km seven sea syrup, multivitamin syrup za aina tofauti na bado hali yake Iko vile vile mbaya zaidi anazidi kudhohofika kiafya na anaweza kushida bila kula ht chakula ukimlazimisha anatapika na kulia siku nzima kweli mama anapitia changamoto kubwa sana mpk ameacha kumpeleka clinic kwa sababu akimpeleka manesi wanamtuana na kumwita yeye ni mzembe. Wadau naombeni ushauri wenu nn apewe ili aweze kula mtoto.