Siasa chafu za magamba zimeanza
Ukawa mtamalizana kwa hiyo njia ya kugawana majimbo
Daah! too sad aisee.
W.M Ngereja inabidi akamatwe kwa mahojiano zaidi pamoja na team yake ikiongozwa na Mzee Mululu.
Mwaka wa uchaguzi huja na majanga yake.
RIP Dr. Watugala mchango wako kwa chama will always be valued!
ccm hao. nakumbuka yule mgombea wa cdm pale shinyanga mjini alishindwa kwa kura 1. ccm wakamfanyie umafia..
Chadema wameanza kuuana wenyewe
Shirikisha ubongo unapoandika
Mmmmmmm ........matatizo ya akili ndogo kuiongoza akili kubwa......kwako wewe kifo kinaweza tokana na kurogwa tu.....na kurogwa kwenyewe na Chadema.....lakini nashukuru unamfahamu Mwenyezi Mungu ingawa umemudhalilisha kwa kuandika jina lake kwa herufi ndogo. hujui kuwa hili ni jina kuu juu ya majina yote??
Akamatwe kwa lipi kwani huyo ni mungu?
Nimeushirikisha hadi machozi yamenitoka kwa uchungu. Yaani siasa tu mpaka mtoane roho jamani! So sad.
Nimeushirikisha hadi machozi yamenitoka kwa uchungu. Yaani siasa tu mpaka mtoane roho jamani! So sad.
Mmmmmmm ........matatizo ya akili ndogo kuiongoza akili kubwa......kwako wewe kifo kinaweza tokana na kurogwa tu.....na kurogwa kwenyewe na Chadema.....lakini nashukuru unamfahamu Mwenyezi Mungu ingawa umemudhalilisha kwa kuandika jina lake kwa herufi ndogo. hujui kuwa hili ni jina kuu juu ya majina yote??
Pole kwa msiba wafiwa.