julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,654
- 3,481
Afisa afya au mtendaji hivi hii sehem tena mbele ya shule ya msing Lumumba mbele kabisa maji ya choo imekuwa kero,tena mbele ya ofisi za jiji maji machafu ya choo. Tuwasaidie hawa watoto na wapita njia, imekuwa risk unalazimika kutembea kwenye lam unapigana mabusu na magari saa nyinginezo yanakukosa kosa.yamekua kero.
Nazungumza na jamaa mmoja anasema wazibuaji wanakujaga ila wanashindwa. Afsa afya jiji hapo action plan yako ni ipi? Hawa wanaokaa magorofa si ndio wanaotumia vyoo na kusababisha adha hii,watembelee
Nazungumza na jamaa mmoja anasema wazibuaji wanakujaga ila wanashindwa. Afsa afya jiji hapo action plan yako ni ipi? Hawa wanaokaa magorofa si ndio wanaotumia vyoo na kusababisha adha hii,watembelee