ASANTE SANA. KUPONA KUNAWEZEKANA DR.? MAANA ROHO INAUMAfanya hivyo kwa siku tatu mkuu then utanipa mrejesho
ASANTE SANA. KUPONA KUNAWEZEKANA DR.? MAANA ROHO INAUMAfanya hivyo kwa siku tatu mkuu then utanipa mrejesho
mkuu sipo familiar sana na bata mzinga but kufika kesho nitakuja na jawabu la swali naomba uwe na subira kidogo mkuuMkuu mi batamzinga wangu wanadinyana sana ila hawatagi kabisa chakula nimejitahidi lakini wapi!
dume ana umri gani?
kwa upande wangu hapo nitakushauri uzingatie sana suala zima la management... hapa nazungumzia ishu nzima ya chakula na maji viwe salama, na pia zingatia muda wa chanjo maana hawa kuku wa kisasa wengi wao ni prone to diseases hivyo suala la chanjo ni la kuzingatia sana mkuu kuhusiana na chanjo itabidi utembelee duka la mifugo kwa ushauri zaidi mkuu
iko guarantee mkuu iwapo tu obtrurator/sciatic or femoral nerve hazijawa damage mkuuASANTE SANA. KUPONA KUNAWEZEKANA DR.? MAANA ROHO INAUMA
tatizo lako mkuu liko physiologically zaidi... mara nyingi hii hutokea iwapo kuna kianzii na ng"ombe wanakosa malisho na maji ya kutosha... so ikitokea ng'ombe wamepata malisho na maji mengi kipindi cha neema kuna kuwa na physiological disturbance/overload ambayo hupelekea hayo matatizo....Mkuu nipo huku kijiji mzee wangu ni mfugani lakini pale mvua zinapooanza kunyeesha ng'ombe wengi hasa wenye umri mkibwa huanza kuharisha na kukonda ghafla na wakati mwingine wakiwa marishoni anaweza akalala na kushindwa kuamka naomba ushauri mkuu nimsaidie mzee wangu
na kawaida kwa kipindi kama hicho hipoteza ng'ombe si 60 kwa mwaka kwa kipindi cha masika na vuli
Sent using Jamii Forums mobile app
na vipi kuhusu hao majike.... wana umri gani mkuuuAna miaka mitatu mkuu!
kwa chakula hapo unaweza wapa soft feed mkuu.... unaweza wakorogea uji then ukawapa pia uwe una wapa maziwa mara moja moja sio kila siku atleast 3 times a weeksory brother nmenunua viumbwa viwili vidume vina miez 1 na nusu je chakula gan kinafaa na je itchukua muda gan ili vihasiwe coz nimenunua mtaan hapa ili nifuge Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
na vipi kuhusu hao majike.... wana umri gani mkuuu
hapo ABC kama vile erythromycin or tylosin ambao utachanganya kwa maji au kwa chakula na kuwapa kuku wako mkuu
ngoja nijaribu kufuatilia mkuu.. kufika kesho nitakuja na solution ya tatizo lako be patience brotherWote wana umri mmoja miaka mitatu mkuu!
dalili nyingine tofouti na hiyo ambao ushawahi iona ni ipi? mkuu.....Kuku wangu wanakufa na dalili zinaanza wanakuwa kama vile mabawa yanaparalyze tatizo ni nini?
Asante sana mkuuNdio mkuu hizo taarifa zina ukweli Bata wako Resistance kwa magonjwa mengi tofouti na kuku.... Katika fani yangu hii ya utabibu wa mifugo sijawahi attend any case inayohusiana na bata..... But kuna magonjwa mawili hatari sana incase yakivamia shamba lako nayo ni Duck viral hepatitis and Duck viral enteritis Thou ni rarely sana kuvamia shamba...
Kwa ushauri wangu wangu ukibahatika kuanzisha mradi wako make sure uwe na good management katika suala zima la mabanda na vyombo vya chakula na maji katika farm yako hiyo ya bata na pia ukumbuke kuwachanja bata wako dhidi ya hayo magonjwa hapo juu.... Kila la kheri mkuu
all the best mkuu... but kibongo bongo soko lake si sana mkuu.... but ukiwa nao wa kutosha na ukawa na akili ya ku export utapiga mpunga wa maana.....Asante sana mkuu
niko tangandio ufanye kama nilivyokuambia afu jitahidi sana kumnyanyua kwa namna yoyote mkuu.... ungekuwa dar ningekusaidia tatizo lako mkuu
Hii ilitokea baada ya mchungaji kumpandisha kilima kikali wakati nilimwambia kuwa amwache kwenye banda. akakaidiiko guarantee mkuu iwapo tu obtrurator/sciatic or femoral nerve hazijawa damage mkuu
mtamfute mtaalamu yeyote wa mifugo atakusaidia mkuu.... and akiwa hapo zingatia sana posture yake akae sternal recumbency (mkao wa kawaida wa ng'ombe) and not lateral recumbency mkuu... kila la kheri mkuuniko tanga