LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,228
- 11,432
Naona nguvu kubwa sana inatumika kuipamba hii awamu kuwa inafanya makubwa, Wasanii wanabebwa na kupewa posho kila kukicha matarumbeta insta Mama anafanya makubwa
Jamani sisi wananchi huku ndio hali tunaijua na sisi ndio tunatakiwa kusifia au kuponda msilazimishe kusifia mambo ambayo hata nyie mnajua hamjayatimiza mtaani huku hali ni tete
Mafuta yanakimbilia 3500 kwa lita moja na bado mnasema tupo vzuri
Jamani sisi wananchi huku ndio hali tunaijua na sisi ndio tunatakiwa kusifia au kuponda msilazimishe kusifia mambo ambayo hata nyie mnajua hamjayatimiza mtaani huku hali ni tete
Mafuta yanakimbilia 3500 kwa lita moja na bado mnasema tupo vzuri