KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,475
- 57,542
Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!. Yeye akilewa ni amapiano Tu!.
Atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
Ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!
Nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!
Atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
Ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!
Nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!