Msaada wenu wana Chit - Chat mie napotelea huku

Zero One Two

JF-Expert Member
Sep 16, 2007
9,347
3,023
Nilifika Jana TNG saa 9 kasoro ivi, bahati mbaya ni mala yangu ya kwanza kufika pale, basi katika uliza uliza kuna binti mmoja ni mrembo hata beyonce hatii mguu pale, akasema eti na yeye ni Jf member ametumwa kunipokea, mie nikakubali akabeba ka mzigo kangu, nilikua nazawadi za Arushaone, Filipo, na watu8 pamoja na PJ. Cha ajabu tukaingia kwenye nyumba moja ivi nikakuta watu wengi nikasema duh! Hawa wote ni wana CC nikafurahi kimoyo moyo, cha ajabu yule binti akaniingiza kwenye chumba kulikua na wazee kama wa 4, then akanitambulisha mie ndie mwenye ujauzito alio nao lol! Hapo hapo ukaletwa ubani na tukafungishwa ndoa, asubuhi ya leo wakatupa kiwanja cha kuanzia maisha na mtaji, na wameniambia nikajiribu kukimbia mimba itahamia kwangu na ikifikisha miezi 9 nitakufa. Jamani njooni mniokoe huku mwenzenu
 
Mie, hata waniruhusu niondoke nae kuliko kubaki huku TNG naishi kwa wakwe, alafu sala tano hapa ndio zina nichanganya
 
Umeumaliza mwaka kwa raha sana,unakamatisha kitu zaidi ya beyonce na nyongeza ya mimba!vp na mm nikija naweza pata zali kama lako?!
 
Njoo brother, mie hata huyu nitakuachia ndugu yangu. Maana hapa baba mkwe kaniambia nimuambie nataka gari aina gani na badae anataka nimuoneshe aina ya nyumba ninayo itaka wanijengee mie na Kailash( jina la shemeji yako) sasa mie mambo ya bure sitaki
Umeumaliza mwaka kwa raha sana,unakamatisha kitu zaidi ya beyonce na nyongeza ya mimba!vp na mm nikija naweza pata zali kama lako?!
 
Zawadi zao paka sasa ivi zipo tu, ni zawadi za saa aina ya ROLEX DAYTONA from Switzerand penyewe, kwaiyo Arushaone, watu8 na Filipo fanyeni mpango mje mchukue zawadi zenu na mie mniokoe pia.
 
Mimi naomba msaada mnitoe huku TNG maana huyu msichana wameniozesha mzuri sana hadi namuogopa.. Alafu sina uhuru maana naishi kwao tokea jana nilipo fungishwa ndoa
maskini weee tangaaaa kunani paleeee mbona manoah kaozeshwaaa tangaaa
 
Cha ajabu huyu Kailash, yani nikitaka kuoga hataki hadi aniogeshe, alafu maji anayawekea mau gani siju, najikuta na nukia kweli nikimaliza kuoga, na hata mafuta ananipaka yeye... Yani jamani mwenzenu nateseka kweli huku njooni mniokoe
 
Wasiliana na Baba V atakusaidia, hilo ni tatizo dogo sana kwake.
 
Last edited by a moderator:
Cha ajabu huyu Kailash, yani nikitaka kuoga hataki hadi aniogeshe, alafu maji anayawekea mau gani siju, najikuta na nukia kweli nikimaliza kuoga, na hata mafuta ananipaka yeye... Yani jamani mwenzenu nateseka kweli huku njooni mniokoe

Hapo huteseki mkuu hizo bahati......!! Ukikwama kabisa njoo Sumbawanga hilo ni tatizo dogo sana.
 
Sumbawanga nitakujaje wakati nimeambiwa nikajaribu kutoroka mimba ina hamia kwangu, alafu mie haya mapenzi ya kubembelezana kama watoto ndio kero kwangu kwasababu cjayazoea mkuu
Hapo huteseki mkuu hizo bahati......!! Ukikwama kabisa njoo Sumbawanga hilo ni tatizo dogo sana.
 
Sumbawanga nitakujaje wakati nimeambiwa nikajaribu kutoroka mimba ina hamia kwangu, alafu mie haya mapenzi ya kubembelezana kama watoto ndio kero kwangu kwasababu cjayazoea mkuu
Huku nitakusaidia hiyo mimba isihamie kwako....teheteheeeh!!
 
Mimi naomba msaada mnitoe huku TNG maana huyu msichana wameniozesha mzuri sana hadi namuogopa.. Alafu sina uhuru maana naishi kwao tokea jana nilipo fungishwa ndoa

Uncle Baba V atakuja akusaidie hilo ni suala teke kabisaa
 
Back
Top Bottom