Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 159
wapendwa inakuwaje,
poleni na majukumu ya kazi,naomba mwenye ujuzi wa kufanya manual setting za internet kwenye simu tajwa hapo juu,yaani haitaki kuwa kwenye 3g,h
kila nikifanya setting inakuwa E,ambayo kwenye intenet inakuwa slow sana,jamani naombeni msaada wenu
poleni na majukumu ya kazi,naomba mwenye ujuzi wa kufanya manual setting za internet kwenye simu tajwa hapo juu,yaani haitaki kuwa kwenye 3g,h
kila nikifanya setting inakuwa E,ambayo kwenye intenet inakuwa slow sana,jamani naombeni msaada wenu