Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,060
- 13,877
Hii simu ilipata new vison. Baada ya kudownload, ikazima na kujiwasha kama simu nyingine . Ilipowaka ikataka network ya data au wifi. Ukiwasha hotspot inakubali na ina pair kabisa. Ila haikubali ku connect.
Imenisumbua. Nimeipeleka kwa mafundi wa software wameshindwa. Nimeona nije hapa jukwaani kwa mzaada zaidi.
Kwa sasa inaoneka kama hapa chini.
Imenisumbua. Nimeipeleka kwa mafundi wa software wameshindwa. Nimeona nije hapa jukwaani kwa mzaada zaidi.
Kwa sasa inaoneka kama hapa chini.