Msaada. Huawei A20 imekataa kuconnect kwenye hotspot

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
8,060
13,877
Hii simu ilipata new vison. Baada ya kudownload, ikazima na kujiwasha kama simu nyingine . Ilipowaka ikataka network ya data au wifi. Ukiwasha hotspot inakubali na ina pair kabisa. Ila haikubali ku connect.

Imenisumbua. Nimeipeleka kwa mafundi wa software wameshindwa. Nimeona nije hapa jukwaani kwa mzaada zaidi.

Kwa sasa inaoneka kama hapa chini.
20240421_163631.jpg
 
Pia unaweza kutumia HiSuite baadhi ya simu za Huawei kufanya recovery.

Use HiSuite to restore your phone. (Some phones/tablets do not support system recovery using HiSuite.)
  1. Install the latest version of HiSuite on your computer.
  2. Make sure that your device is powered off, and connect it to the computer via a USB cable. Press and hold down on the Volume down and Power buttons for several seconds to enter FastBoot mode (a robot screen). If there is no Volume button, press the Power button three to five times in succession to wait for screen-on, and enter FastBoot mode.
  3. Go to HiSuite > System restoration > Continue > Start.
  4. Wait for the restoration to complete. The system will be restored to a default version.
  5. Your device will automatically restart and enter the home screen. This may take a short while to complete.
 
Nipo mkoani, morogoro. Wilayani kilombero(ifakara) hii huduma nimeshindwa kuipata.
Maamuzi. Naituma dsm kwa ajili ya matengenezo.
Ahsanteni wote mliotoa ushauri.
 
Back
Top Bottom