Nehemiahsingh
Member
- Feb 20, 2021
- 13
- 11
Computer yangu aina hp desktop haiwaki imeanza juzi ilikuwa inawaka na kujizima hapo hapo jana nikaiwasha ikawa inaonekana elimewaka lakini hai display chochote kwenye monitor na pia feni ya kwenye power supply haizunguki na nimejalibu kutest power supply nyingine bado inafanya hivyo hivyo haiwaki.
Shida ni nini wakuu?
Shida ni nini wakuu?