james marco
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 208
- 167
habarini wana janvi! Mimi ni mhitimu katika shule frani hivi mwaka ulio pita sasa pale shuleni second master alikua na mambk ya ajabu sana kama vile kutengeneza uadui na wanafunzi kutunyang'anya magodoro,kutengeneza kesi,ukidakwa na simu unapigwa fine ya kuja na UNITS mia mbili za umeme tulivumilia tuka toboa
Sasa basi baada ya kuhitim wale wanafunzi watukutu walitengeneza whatsapp group ambamo jamaa wali mu add huyo second master asee na wengine tukawa tume be added sasa basi wale jamaa walio zingua necta walianza kumtolea shit sana yule mwalimu kwa kua wengine tulijua tutarudi ili bidi tukaushe tusije zua mengine
Ila imefikia mwaka huu jamaa wakiwa wanafuata vyeti kwa wale ambao mwaka wa pili lazima uwe na cheti jamaa amekua akizingua katakata kutoa hvyo vyeti kibaya zaid kachukua no zote zilizokua kwenye hilo group na kuziweka kwenye hiyo kesi sasa jamank sheria inasemaje hapo je akikatalia cheti naweza kupataje msaada kisheria? Ahsanten
Sasa basi baada ya kuhitim wale wanafunzi watukutu walitengeneza whatsapp group ambamo jamaa wali mu add huyo second master asee na wengine tukawa tume be added sasa basi wale jamaa walio zingua necta walianza kumtolea shit sana yule mwalimu kwa kua wengine tulijua tutarudi ili bidi tukaushe tusije zua mengine
Ila imefikia mwaka huu jamaa wakiwa wanafuata vyeti kwa wale ambao mwaka wa pili lazima uwe na cheti jamaa amekua akizingua katakata kutoa hvyo vyeti kibaya zaid kachukua no zote zilizokua kwenye hilo group na kuziweka kwenye hiyo kesi sasa jamank sheria inasemaje hapo je akikatalia cheti naweza kupataje msaada kisheria? Ahsanten