Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

charlesfundi

JF-Expert Member
Jun 5, 2017
200
253
Habarini wa Jf imepita sasa takribani week7 na nusu niko week ya 8 baada ya kuishi kwa msongo mkubwa sana wa mawazo kupelekea afya kudhorota na ufanisi wa kazi kuwa mbovu baada ya kuyatimba kwa mdada ambae anamoto aka umeme bado naendelea kumuomba Mungu. Nimeleta mrejesho huu nitumaini nitapata ushauri kutoka kwenu napia kuwahasa vijana wenzangu hasa ambao hatujaoa tuendelee kujitunza sana maana maisha bado nimazuri.

Niko naendelea kusikilizia mwezi mwingine uliobaki kujua kama PEP zilinikomboa maana niko kwenye msongo mkubwa sana wa mawazo na kuapa kutorudia tena nikinusurika hapa nihayo tu wakuuHofu ya kupata HIV baada ya kufanya ngono nzembe na mdada niliekutana nae siku 1
 
Vile vipimo vya rapid test, ikifika siku ya 21 ukatest ukaona umepona ujue ndio umepona kweli. Nisikilize mimi nina uzoefu na majanga ya namna hiyo. Ingawa ukishatumia hizo PeP zinatabia ya kuchelewesha window period na kuifanya iwe ndefu kidgo
 
Vile vipimo vya rapid test, ikifika siku ya 21 ukatest ukaona umepona ujue ndio umepona kweli. Nisikilize mimi nina uzoefu na majanga ya namna hiyo. Ingawa ukishatumia hizo PeP zinatabia ya kuchelewesha window period na kuifanya iwe ndefu kidgo
inakua ndefu kwa kipindi gani mkuu ebu niambie walau niapate somo
 
Vile vipimo vya rapid test, ikifika siku ya 21 ukatest ukaona umepona ujue ndio umepona kweli. Nisikilize mimi nina uzoefu na majanga ya namna hiyo. Ingawa ukishatumia hizo PeP zinatabia ya kuchelewesha window period na kuifanya iwe ndefu kidgo
Mkuu kwa uzoefu wako inabidi nipime kupata uhakika baada ya muda gani baada ya PEP
 
Mkuu kwa uzoefu wako inabidi nipime kupata uhakika baada ya muda gani baada ya PEP

Wengi wanasema PEP zinatabia ya kuchelewesha final test, ingawa si kwa watu wote..week 6 ukipima baada ya kuanza kutumia PEP na bado ukawa negative basi week 12 zinatosha ku-confirm kwamba upo sawa. Ingawa wajuzi zaidi watakujuza. Lakini kama ingekuwa hujatumia PEP kwa muda huo ulitosha kuthibitisha kwmba upo sawa. Maana rapid test zile kama SD Bioline hazinaga mbambamba....
 
yani unatumia PEP na bado unawasiwasi nina rafiki ana mwaka wa pili anatumia pep na anachukua makusudi ili awale 071 ww mwoga ndugu yangu
 
Wengi wanasema PEP zinatabia ya kuchelewesha final test, ingawa si kwa watu wote..week 6 ukipima baada ya kuanza kutumia PEP na bado ukawa negative basi week 12 zinatosha ku-confirm kwamba upo sawa. Ingawa wajuzi zaidi watakujuza. Lakini kama ingekuwa hujatumia PEP kwa muda huo ulitosha kuthibitisha kwmba upo sawa. Maana rapid test zile kama SD Bioline hazinaga mbambamba....
Oohh sawa mkuu ngoja nisubirie kama mwezi tena
 
Dhuu mzee mimi nimekua muoga sana maana kunadalili nakua nazipata ndo zinazidi kunitia hofu

Unapata dalili gani? Dalili ulizonazo wewe nyingi ni za woga, hivi unajua unaweza hata kuvimba lymph nodes kama unaji stress sana maana utapata strees sore throat?
 
Unapata dalili gani? Dalili ulizonazo wewe nyingi ni za woga, hivi unajua unaweza hata kuvimba lymph nodes kama unaji stress sana maana utapata strees sore throat?
Dhaaa mwana nina mafua na runny nose haviponi mwili kuchoka na joints kuchoka pia na kikohozi kikavu ila nimepigwa na stress balaaa sitoka nisahau kilo zimetembea kwa spidi sana
 
Dhaaa mwana nina mafua na runny nose haviponi mwili kuchoka na joints kuchoka pia na kikohozi kikavu ila nimepigwa na stress balaaa sitoka nisahau kilo zimetembea kwa spidi sana

Haya yote magonjwa ya stress tu hakuna jipya hapo. Huu ugonjwa dalili yake kubwa haswa ni homa kali na kuvimba matezi kama hakuna hiyo dalili...unajipa stress tu. Mafua na joints kuuma ni kwasababu ya stress
 
Mkuu ngojaa niongeze bidii tu kupima walau nitoe hii hofu niliyonayo

Ukishajingea hofu utaishi nayo mda mrefu sana. Maana unaweza ukapima ukawa fresh baada ya saa 1 unaanza kuji stress tena. Kikubwa kwanza stress ni hatari kuliko hata hiyo HIV. Acha stress furahia maisha
 
Ukishajingea hofu utaishi nayo mda mrefu sana. Maana unaweza ukapima ukawa fresh baada ya saa 1 unaanza kuji stress tena. Kikubwa kwanza stress ni hatari kuliko hata hiyo HIV. Acha stress furahia maisha
Sawa mkuu asante kwa ushauri barikiwa
 
Sawa mkuu asante kwa kunitia moyo
Haya yote magonjwa ya stress tu hakuna jipya hapo. Huu ugonjwa dalili yake kubwa haswa ni homa kali na kuvimba matezi kama hakuna hiyo dalili...unajipa stress tu. Mafua na joints kuuma ni kwasababu ya stress
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom