Wenzetu jirani Kenya, Uganda, Rwanda wamestuka kwamba Technology is the future, hawana budget kubwa kama mbele ila si haba wanapambana wasipitwe sana, wanaandaa watoto shule za msingi kujifunza kutenegendeza programs, mifumo ya computer, robots, n.k. mtoto anajengewa msingi imara kuvijua vitu mapema sio mpaka aanze kwenda chuoni
Ukija hapa kwetu darasa la computer ni mambo yale yale ya zamani how to switch off computer, double click, n.k.
Wenzetu wameonesha nia wanapewa funds kujipanua, Kuna hubs / kambi kibao za vijana wenye interest na mambo haya kukutana hii inapelekea haya mashirika ya nje kuwasaidia kifedha kufanya projects,
majirani wanapewa uzito kuzidi sisi kwenye scholarships za kwenda kusoma mamcho ya IT huko majuu maana hata vyuo vinaona wana jitihada kutuzidi, mtu anaomba scholarship anaonesha kaanza kujifunza programming tangu shule ya msingi. wakipaata magamba huko majuu hupata kazi makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Facebook, n.k. Mishahara milioni 20+ kila mwezi baada ya makato
USHAURI:
Bajeti ya mwaka kwa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia ni Trilioni 1.6,
Shilingi Bilioni 5 ikitengwa inaweza kuleta walimu zaidi ya 130 kutoka nchi za nje kama India na kuwalipa mishahara ya milioni 3 kila mwezi kwa mwaka mzima, katika hao walimu wanaweza kusambazwa wanne kila shule kwenye shule 30 zinazotumia mitaala ya kiingereza.
Ukija hapa kwetu darasa la computer ni mambo yale yale ya zamani how to switch off computer, double click, n.k.
Wenzetu wameonesha nia wanapewa funds kujipanua, Kuna hubs / kambi kibao za vijana wenye interest na mambo haya kukutana hii inapelekea haya mashirika ya nje kuwasaidia kifedha kufanya projects,
majirani wanapewa uzito kuzidi sisi kwenye scholarships za kwenda kusoma mamcho ya IT huko majuu maana hata vyuo vinaona wana jitihada kutuzidi, mtu anaomba scholarship anaonesha kaanza kujifunza programming tangu shule ya msingi. wakipaata magamba huko majuu hupata kazi makampuni makubwa kama Google, Microsoft, Facebook, n.k. Mishahara milioni 20+ kila mwezi baada ya makato
USHAURI:
Bajeti ya mwaka kwa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia ni Trilioni 1.6,
Shilingi Bilioni 5 ikitengwa inaweza kuleta walimu zaidi ya 130 kutoka nchi za nje kama India na kuwalipa mishahara ya milioni 3 kila mwezi kwa mwaka mzima, katika hao walimu wanaweza kusambazwa wanne kila shule kwenye shule 30 zinazotumia mitaala ya kiingereza.