๐— ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐——๐—ฃW ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ฎ ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ผ ๐—ป๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ wao

Mdude_Nyagali

Member
Dec 11, 2022
62
1,246
Tayari DP World wameshachukua udhibiti wa bandari ambayo ni urithi wetu kutoka kwa Mungu.

1. Mpaka sasa Rais hajaweka wazi Tanzania itapata Tsh. ngapi kwa mwezi kupitia mapato ya bandari ambayo kuanzia sasa yatakusanywa na DP World kama taarifa ya TPA niliyoambatanisha hapa inavyoeleza.

2. Kwamba hapo awali mapato yetu pale bandarini yalikuwa wazi ila kwa sasa yatakuwa siri kati ya DP World na Samia.

3. Pamoja na uboreshaji wa bandari hizo kupitia pesa zetu na mkopo kutoka WB bado Samia na serikali yake hawajaweka wazi kwamba hao DP World wamewekeza kiasi gani zaidi ya kuja kuvuna shamba ambalo tumelilima kwa jasho na damu kwa ajili ya watoto wa Tanganyika na Tanzania.

4. Mpaka sasa Samia na serikali yake wamekataa kuweka wazi mikataba ya kukabidhi bandari hizo kwa waarabu wa DP World. Tunaambiwa ni uwekezaji lakini hatuoneshwi mikataba hiyo ili tuipitie tuone kama uwekezaji huo una faida au hasara.

Samia anapaswa kupingwa na kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo wa taifa hili. Sisi hatuna nchi nyingine isipokuwa hii Tanganyika aliyotupa Mungu. Sasa kama Samia atakuwa anaendelea kuingia mikataba ya siri na mibovu ya kuuza rasilimali nitakuwa tayari kwa lolote kulinda rasilimali na ardhi ya nchi yetu.

Mungu bariki Tanganyika.

Mungu bariki Zanzibar.

Mungu bariki Tanzania.

Mdude Mpaluka Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Screenshot_20240410-111417_1.jpg
 
Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.

Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
 
Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.

Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Na hatutalipa hata mia mbovu,

Maana mkataba ni Fake na BATILI.
 
Tayari DP World wameshachukua udhibiti wa bandari ambayo ni urithi wetu kutoka kwa Mungu.

1. Mpaka sasa Rais hajaweka wazi Tanzania itapata Tsh. ngapi kwa mwezi kupitia mapato ya bandari ambayo kuanzia sasa yatakusanywa na DP World kama taarifa ya TPA niliyoambatanisha hapa inavyoeleza.

2. Kwamba hapo awali mapato yetu pale bandarini yalikuwa wazi ila kwa sasa yatakuwa siri kati ya DP World na Samia.

3. Pamoja na uboreshaji wa bandari hizo kupitia pesa zetu na mkopo kutoka WB bado Samia na serikali yake hawajaweka wazi kwamba hao DP World wamewekeza kiasi gani zaidi ya kuja kuvuna shamba ambalo tumelilima kwa jasho na damu kwa ajili ya watoto wa Tanganyika na Tanzania.

4. Mpaka sasa Samia na serikali yake wamekataa kuweka wazi mikataba ya kukabidhi bandari hizo kwa waarabu wa DP World. Tunaambiwa ni uwekezaji lakini hatuoneshwi mikataba hiyo ili tuipitie tuone kama uwekezaji huo una faida au hasara.

Samia anapaswa kupingwa na kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo wa taifa hili. Sisi hatuna nchi nyingine isipokuwa hii Tanganyika aliyotupa Mungu. Sasa kama Samia atakuwa anaendelea kuingia mikataba ya siri na mibovu ya kuuza rasilimali nitakuwa tayari kwa lolote kulinda rasilimali na ardhi ya nchi yetu.

Mungu bariki Tanganyika.

Mungu bariki Zanzibar.

Mungu bariki Tanzania.

Mdude Mpaluka Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2959439
Mdude unapotosha kwa makusudi
Rais ana nguvu gani? Kuna bunge la Tanzania limebariki. Kama unavyosema ndio hivyo Kuna haja gani bodi ya mkopo kusomesha vijana wa Tanzania bara? Maana bunge ndio chenye nguvu nchini
 
Bro utaonekana msaliti lakini jina lako litakumbukwa siku ambayo wanyonywaji wataishiwa damu na kuanza kutapatapa kama wafa maji.

Hii nchi imejaa upuuzi wa hali ya juu. Wachache wanaoifaidi hawajali as long as wanapokea mikwanja ya kushanta kwenye offshore accounts na familia zao ziko well off
 
iwe kweli au isiwe kweli, historia inatufundisha kwamba, hakuna mkataba hata mmoja ulio wacost watanzania ambao haukupigiwa kelele kabla ya kusainiwa. watanzania huwa wanapinga kwa kelele nyingi, viongozi wanalazimisha kwa maslahi yao na familia zao, na mwisho wao wenyewe wanakuja kukiri kwamba walikosea, hawafanywi chochote kwa kukosea huko, wanaendelea kumiliki utajiri mkubwa wao na familia zao, wanaandika vitabu, wanakufa, tunawapa heshima. imeisha hiyo. hakuna jipya duniani, kila kitu ni ubatili tu.
 
Tayari DP World wameshachukua udhibiti wa bandari ambayo ni urithi wetu kutoka kwa Mungu.

1. Mpaka sasa Rais hajaweka wazi Tanzania itapata Tsh. ngapi kwa mwezi kupitia mapato ya bandari ambayo kuanzia sasa yatakusanywa na DP World kama taarifa ya TPA niliyoambatanisha hapa inavyoeleza.

2. Kwamba hapo awali mapato yetu pale bandarini yalikuwa wazi ila kwa sasa yatakuwa siri kati ya DP World na Samia.

3. Pamoja na uboreshaji wa bandari hizo kupitia pesa zetu na mkopo kutoka WB bado Samia na serikali yake hawajaweka wazi kwamba hao DP World wamewekeza kiasi gani zaidi ya kuja kuvuna shamba ambalo tumelilima kwa jasho na damu kwa ajili ya watoto wa Tanganyika na Tanzania.

4. Mpaka sasa Samia na serikali yake wamekataa kuweka wazi mikataba ya kukabidhi bandari hizo kwa waarabu wa DP World. Tunaambiwa ni uwekezaji lakini hatuoneshwi mikataba hiyo ili tuipitie tuone kama uwekezaji huo una faida au hasara.

Samia anapaswa kupingwa na kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo wa taifa hili. Sisi hatuna nchi nyingine isipokuwa hii Tanganyika aliyotupa Mungu. Sasa kama Samia atakuwa anaendelea kuingia mikataba ya siri na mibovu ya kuuza rasilimali nitakuwa tayari kwa lolote kulinda rasilimali na ardhi ya nchi yetu.

Mungu bariki Tanganyika.

Mungu bariki Zanzibar.

Mungu bariki Tanzania.

Mdude Mpaluka Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2959439
Nyie wajinga na Mwabukusi wako msiturudishe nyuma. Haya mambo ya kisheria na kibiashara hqmuyajui kwa vile hata elimu yenu ni ndogo.

Nenda kafanye unachojuwa zaidi kikupatie fedha ila hili siyo eneo lako. Linahitaji watu wenye akili zao lakini siyo mtu wa calibre yako.
 
Bro utaonekana msaliti lakini jina lako litakumbukwa siku ambayo wanyonywaji wataishiwa damu na kuanza kutapatapa kama wafa maji.

Hii nchi imejaa upuuzi wa hali ya juu. Wachache wanaoifaidi hawajali as long as wanapokea mikwanja ya kushanta kwenye offshore accounts na familia zao ziko well off
Yaani ni hatar sana , Kuna kikundi kidgo Cha watu kimejitengeneza kwa ajili ya kuitafuna nchi wanajiona bila wao bas Tanzania haipo wanatuona wananchi wachini ni manyangau tu ila wao na familia zao ndio Bora
 
Back
Top Bottom