Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,504
- 8,071
Mkazi wa wilaya ya Kilosa, Mohammed Salange amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada kukutwa na hatia ya kumfanyia ukatili mtoto wake wa kufikia wa kiume mwenye umri wa miaka 9. Makosa hayo sita yanajumuisha kumng'oa jino La mbele, kumdhuru sehemu mbalimbali za siri, kumwagia maji ya moto na kumpiga mkono hadi kuvunjika.
Bado Salange ana kesi ya kuwakatili watoto wake wengine wawili wa kufikia pamoja na kumuua mama yao ambae alikuwa ni mkewe.
Bado Salange ana kesi ya kuwakatili watoto wake wengine wawili wa kufikia pamoja na kumuua mama yao ambae alikuwa ni mkewe.