Tariq f
JF-Expert Member
- Dec 11, 2021
- 233
- 345
Habari wakuu,
Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi Sundowns ( Rulani Makwena)
Hayo ni maneno ya Kocha wa wababe toka Africa kusini Mamelodi Sundowns ( Masandawana ) kuelekea mchezo wao dhidi ya Dar Young Africans panapo March 30.
Bila kusahau kwenye ulimwengu wa Soka hii ni kauli mbaya sana kwa Yanga iliyotolewa na mpinzani wake huyo. Mpinzani anapokuheshimu ina maana anaenda kukuwekea silaha zote za mauaji tayari kwa vita na hataki kukuletea utani.
Bila shaka Yanga inatakiwa kuwa makini sana kuelekea mtanange huu, hii ni baada ya kila dalili mbaya kuonekana upande wao.
Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi Sundowns ( Rulani Makwena)
Hayo ni maneno ya Kocha wa wababe toka Africa kusini Mamelodi Sundowns ( Masandawana ) kuelekea mchezo wao dhidi ya Dar Young Africans panapo March 30.
Bila kusahau kwenye ulimwengu wa Soka hii ni kauli mbaya sana kwa Yanga iliyotolewa na mpinzani wake huyo. Mpinzani anapokuheshimu ina maana anaenda kukuwekea silaha zote za mauaji tayari kwa vita na hataki kukuletea utani.
Bila shaka Yanga inatakiwa kuwa makini sana kuelekea mtanange huu, hii ni baada ya kila dalili mbaya kuonekana upande wao.