OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,748
- 9,493
Ukiangalia mwanzoni mwa msimu na sasa utaona jinsi gani timu ndogo ndogo zimeachana na mpira wa kinyonge yaani sasa hivi ukizubaa unaangusha point na kila mechi ni kama vile fainali.
Mnaotaka mshinde goli nyingi nyingi hasa hasa simba muwe na adabu sasa hivi ni piga nikupige ukizubaa unakaa chini na hizo timu ndogo ndogo zinapambana zishuke daraja
Mnaotaka mshinde goli nyingi nyingi hasa hasa simba muwe na adabu sasa hivi ni piga nikupige ukizubaa unakaa chini na hizo timu ndogo ndogo zinapambana zishuke daraja