Mlioacha kutumia pilipili mliwezaje? Licha ya kunidhuru kila ninapotumia nimeshindwa kabisa kuacha ulaji wake

adriz

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
11,051
23,455
Habari za muda huu wana JF,

Nimekuwa mtumiaji mzuri wa pilipili tokea udogoni mpaka sasa mpaka kuna kipindi nikawa ninajiuliza hivi wapi kuna mashindano ya ulaji wa pilipili na mimi nikawakilishe vizuri taifa langu?

Na kwangu chakula chochote bila pilipili kwangu naona hakina maana na mzuka hauji kabisa.
4G8A3695.jpg


Na napenda pilipili ikolee sawasawa hapo nikila stimu zipanda kichwani ubongo unachangamka mpaka nahisi pilipili inasaidia kuongeza akili maana najihusi mwepesi sana na uchangamfu wa hali ya juu wakati ninatumia.

Kiuhalisia mimi kifua changu kipo very sensitive vumbi au moshi wa sigara kidogo basi huwa nakohoa vibaya mno mpaka mwili inakoza nguvu sasa nikifululuza matumizi ya pilipili sitoboi siku tatu lazima homa ya kikohozi inapanda na madawa ya kifua mpaka nimeyazoea na hata nikiwa natumia dozi ya kikohozi bado ulaji unaendelea,kuna kipindi nilidhamiria niacha kabisa ila nilifanikiwa kujizuia kwa mwezi mmoja pekee na nimeshauriwa na wataalamu na watu wengine niache au kupunguza lakini nimeshindwa.

Kwa ambao wamefanikiwa naomba mbinu mliweza vipi kuachana na ulaji pilipili maana nataka niache kabisa kutumia.

#UziTayari
 
Habari za muda huu wana Jf..

Nimekuwa mtumiaji mzuri wa pilipili tokea udogoni mpaka sasa mpaka kuna kipindi nikawa ninajiuliza hivi wapi kuna mashindano ya ulaji wa pilipili na mimi nikawakilishe vizuri taifa langu ? na kwangu chakula chochote bila pilipili kwangu naona hakina maana na mzuka hauji kabisa.View attachment 2373048

Na napenda pilipili ikolee sawasawa hapo nikila stimu zipanda kichwani ubongo unachangamka mpaka nahisi pilipili inasaidia kuongeza akili maana najihusi mwepesi sana na uchangamfu wa hali ya juu wakati ninatumia.

Kiuhalisia mimi kifua changu kipo very sensitive vumbi au moshi wa sigara kidogo basi huwa nakohoa vibaya mno mpaka mwili inakoza nguvu sasa nikifululuza matumizi ya pilipili sitoboi siku tatu lazima homa ya kikohozi inapanda na madawa ya kifua mpaka nimeyazoea na hata nikiwa natumia dozi ya kikohozi bado ulaji unaendelea,kuna kipindi nilidhamiria niacha kabisa ila nilifanikiwa kujizuia kwa mwezi mmoja pekee na nimeshauriwa na wataalamu na watu wengine niache au kupunguza lakini nimeshindwa.

Kwa ambao wamefanikiwa naomba mbinu mliweza vipi kuachana na ulaji pilipili maana nataka niache kabisa kutumia.

#UziTayari
Ni vyema ukapunguza matumizi kama unashindwa kuacha kabisa
 
Sahihi kabisa..
Una uhakika pilipili ndiyo inakufanya ukohoe? Wala pilipili tuko wengi. Mimi bila kusikia ule muwasho wa pilipili chakula hakinogi. Ukinipa ugali na mboga ya majani naweza kuona ugumu kula lakini ukiongeza pilipili nakula mno. Asikudanganye mtu, pilipili ina raha zake. Nikiziona pilipili sokoni nashikwa njaa hapo hapo.
 
Una uhakika pilipili ndiyo inakufanya ukohoe? Wala pilipili tuko wengi. Mimi bila kusikia ule muwasho wa pilipili chakula hakinogi. Ukinipa ugali na mboga ya majani naweza kuona ugumu kula lakini ukiongeza pilipili nakula mno. Asikudanganye mtu, pilipili ina raha zake. Nikiziona pilipili sokoni nashikwa njaa hapo hapo.
Tatizo kifua changu hakipo imara halafu pilipili naweka kwa kiwango kikubwa nikiacha inakuwa fresh nikitumia tena kwa mfululizo haipiti wiki naenda kununua dawa ya kikohozi .
 
Tatizo kifua changu hakipo imara halafu pilipili naweka kwa kiwango kikubwa nikiacha inakuwa fresh nikitumia tena kwa mfululizo haipiti wiki naenda kununua dawa ya kikohozi .
Basi punguza pilipili. Njia nzuri ya kupunguza kitu chochote kama pombe, sigari au hiyo pilipili ni kupunguza polepole. Unashusha kiwango cha utumiaji kidogo kidogo kila siku. Kama ulikuwa unatumia pilipili mbili, baada ya wiki punguza kidogo. eg wiki ya kwanza mbili, ya pili moja na robotatu, ya tatu moja na nusu, ya nne: moja na robo........ na kuendelea
 
Pilipili inaongeza nguvu za kiume na kurefusha mgegedo sasa utaiwachaje mkuu?.
 
Habari za muda huu wana Jf..

Nimekuwa mtumiaji mzuri wa pilipili tokea udogoni mpaka sasa mpaka kuna kipindi nikawa ninajiuliza hivi wapi kuna mashindano ya ulaji wa pilipili na mimi nikawakilishe vizuri taifa langu ? na kwangu chakula chochote bila pilipili kwangu naona hakina maana na mzuka hauji kabisa.View attachment 2373048

Na napenda pilipili ikolee sawasawa hapo nikila stimu zipanda kichwani ubongo unachangamka mpaka nahisi pilipili inasaidia kuongeza akili maana najihusi mwepesi sana na uchangamfu wa hali ya juu wakati ninatumia.

Kiuhalisia mimi kifua changu kipo very sensitive vumbi au moshi wa sigara kidogo basi huwa nakohoa vibaya mno mpaka mwili inakoza nguvu sasa nikifululuza matumizi ya pilipili sitoboi siku tatu lazima homa ya kikohozi inapanda na madawa ya kifua mpaka nimeyazoea na hata nikiwa natumia dozi ya kikohozi bado ulaji unaendelea,kuna kipindi nilidhamiria niacha kabisa ila nilifanikiwa kujizuia kwa mwezi mmoja pekee na nimeshauriwa na wataalamu na watu wengine niache au kupunguza lakini nimeshindwa.

Kwa ambao wamefanikiwa naomba mbinu mliweza vipi kuachana na ulaji pilipili maana nataka niache kabisa kutumia.

#UziTayari
Pilipili haichiki jamani , sijjui niseme ni tamu hata sielewi ila jitajid kupunguza au usile zile.kali sana
 
Back
Top Bottom