ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,688
- 51,554
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paulo Makonda amemshangaa Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha Kwa Kushindwa kutoa maelezo yanayoeleweka hujisu utendaji kazi wa taasisi yake katika Kuhudumia Barabara.
Bwana Makonda amepigwa na Butwaa na kuhoji watu wasioweza kujieleza na wanaojiita Wasomi inakuaje wanapata vyeo husika?
View: https://youtu.be/nr2JCzzytU4?si=ciVZZOnhK0uNFmYn
My Take
Naunga mkono hoja.
Hawa wamesoma communication skills Toka Wakiwa Sekondari Hadi vyuoni,inakuaje washindwenkujieleza? Mbona wengine wanaweza jieleza?
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemshukia vikali Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha, Lainas Sanya kuhusu kazi ya TARURA na barabara wanazozisimamia na kueleza kwamba kama hata kujieleza hawezi alipataje nafasi hiyo?
Bwana Makonda amepigwa na Butwaa na kuhoji watu wasioweza kujieleza na wanaojiita Wasomi inakuaje wanapata vyeo husika?
View: https://youtu.be/nr2JCzzytU4?si=ciVZZOnhK0uNFmYn
My Take
Naunga mkono hoja.
Hawa wamesoma communication skills Toka Wakiwa Sekondari Hadi vyuoni,inakuaje washindwenkujieleza? Mbona wengine wanaweza jieleza?
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemshukia vikali Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha, Lainas Sanya kuhusu kazi ya TARURA na barabara wanazozisimamia na kueleza kwamba kama hata kujieleza hawezi alipataje nafasi hiyo?