Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,195
....Hahahahahah lol! Kwani manyani wakioga ndio wanaogaje!?
hahaha! Manyani wanakuwa hawajavaa nguo. Lol.
Sisi jina tulilikuta na sahv madogo bado wanaliendeleza. Manyani full kuchunguliana.
....Hahahahahah lol! Kwani manyani wakioga ndio wanaogaje!?
Oh yeah...shule ile ilikuwa kamili gado kwa viwango vya kibongo bongo enzi hizo. Na uzuri wake ni kwamba kulikuwa na 'entrance exam'. Na watu walikuwa wakifeli hiyo entrance exam. Hata maabara zake zilikuwa bomba relatively speaking.
Faida nyingine ilikuwa ni kujifunza lugha ya Kiingereza kwa sababu watoto wengi wa pale walitokea Olympio...sasa ukichanganya na wale Wahindi ambao walikuwa hawajui Kiswahili mtoto wa kitaa na wewe unajikuta unalonga nao hivyo hivyo.
nafikiri it was one of the best
hivi yule headmistress wenu wa kihindi ulimkuta?
interview yake ya kwanza kabla hujapewa form...
maswali ya kijinga saana...
mi nilifikiri peke yangu kumbe watoto wa kiswahili karibu wote tuliulizwa..
Mrs. Koleth alikuwa head kwa muda mrefu sana. Ni marehemu sasa.
Lakini pia Boss kulikuwa na written entrance exam...sijui uliifanya hiyo au yako ilikuwa ni oral?
yes nilifanya hiyo na wengine
ndo nikafaulu
but kwanza unapoenda na mzazi wako....
mzazi anatoka nje anakuacha nae....na anakuuliza maswali
ukishindwa form hupewi...hapo ni kabla ya huo mtihani ambao mnakuja woote kuufanya...
Mrs. Koleth alikuwa head kwa muda mrefu sana. Ni marehemu sasa.
Lakini pia Boss kulikuwa na written entrance exam...sijui uliifanya hiyo au yako ilikuwa ni oral?
Ilikua ya wasichana tu?
Hawawezi kuchunguliana kweli?
Maana sisi wa St. Kayumba day school tu tulikua tunasindikizana kukojoa, wao walokua wanaoga je?
Hawawezi kuchunguliana kweli?
Maana sisi wa St. Kayumba day school tu tulikua tunasindikizana kukojoa, wao walokua wanaoga je?
Naaaah!! Ya unga inanoga kwa maembe bwana. Ya mihogo shurti iwe na kale kamchuzi ka nyanya/ kautamu ka vitunguu, kauchachu ka limao na kauwasho ka pilipili.
we unaogopa kuchunguliwa?
sisi tulikuwa tunaoga laundry...huku wengine wanapita,wengine wanafua...
yani unaoga huku walio juu mabwenini wanakuongelesha,lol
utasikia,ndoo iache hapo hapo,lol...
Hahahahaa. . . eti 'ndoo iache hapo hapo.'
Kwahiyo hao wengine walikua wasichana, au wavulana tu?
Hahaaha. . . .
Kumbe ehhhh!?? Naaah. . . . maana wale walokua wanachungulia kwa vioo shuleni kwetu walikua mikia.
Hahahahaa. . . eti 'ndoo iache hapo hapo.'
Kwahiyo hao wengine walikua wasichana, au wavulana tu?
hee heee we una hatari..
msichana apite eneo hilo anajipenda??????lol
shule ilikuwa haina fence na kuna vi njia ambavyo yeyote
anaweza kupita lakini hakuna msichana 'aliekosea njia' lol
Kwa wavivu wa kuchota maji
maana kulikuwa na taabu ya maji sometimes
asubuhi kama huna maji ya kuoga
unawahi kuamka
unasubiri watu wanaooga
unaenda unaomba kwa mmoja unajimwagia na kupaka sabuni
unaenda kwa mwingine unajisuuza kidogo
unamalizi kwa mtu mwingine kujisuuza kamili
mind you, unazunguka bila nguo na mapovu
wengine wanakunyima unakimbilia kwa mwengine
yaani full tumbili