Mkazi wa Mawemairo jela maisha kwa kubaka

John Walter

Member
Aug 14, 2017
64
62
Mahakama ya wilaya ya Babati umemhukumu kifungo cha maisha jela Yunusu Juma (18), Mkazi wa Kijiji cha Mawemairo kata ya Magugu Mkoani Manyara baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto mdogo wa miaka sita.

Hukumu hiyo imetolewa, Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Babati Manyara, Ijumaa Mwambago.

Mwambago amebainisha kuwa kupitia ushahidi usio na shaka uliotolewa Mahakamani hapo kwamba mshitakiwa ametenda kosa hilo hivyo inamhukumu kutumikia adhabu hiyo ya kifungo cha Maisha Jela.

#Walterhabari
 
Mahakama ya wilaya ya Babati umemhukumu kifungo cha maisha jela Yunusu Juma (18), Mkazi wa Kijiji cha Mawemairo kata ya Magugu Mkoani Manyara baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto mdogo wa miaka sita.

Hukumu hiyo imetolewa, Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Babati Manyara, Ijumaa Mwambago.

Mwambago amebainisha kuwa kupitia ushahidi usio na shaka uliotolewa Mahakamani hapo kwamba mshitakiwa ametenda kosa hilo hivyo inamhukumu kutumikia adhabu hiyo ya kifungo cha Maisha Jela.

#Walterhabari
Bado kijana mdogo sana, inasikitisha kuona maisha yake yanatiwa doa kubwa namna hii.
Hata kama adhabu kwa kosa hilo tayari imeainishwa kwenye Sheria, kutokana na umri wake kuwa mdogo sana nafikiri huyo Hakimu angetafuta namna ya kuweza kumpatia au kumpunguzia adhabu, angemhukumu hata miaka kama mitano hivi ili ajifunze lakini siyo kumpatia adhabu ya kumuangamiza kabisa namna hii.
 
Back
Top Bottom